nimefanya utafiti.mdogo nimegungua wanaolipa kod li inafika serikalini ni watu wa chininlakin watu wenye uwezo anakadiriwa 500mln anatoa maelezo mafupi anatoa 150mln serikalin na 50mln inaenda some where kwa hy serikali inalipwa kdg inakosa kingn
Ameongea vitu vya maana sana. Kwa yeyote aliyewahi kuwa na kampuni au ana kampuni anamuelewa Prof anaongea nini. Mifumo yetu ya kodi si rafiki kabisa, inashawishi sana watu kukwepa kodi kuliko kulipa.
@@kwisa4899 Hapo kwenye matumizi ndipo kwenye tatizo, wanaishi kitajiri sana huku wanatuambia sisi ni nchi maskini. Kaangalie bajeti yao ya kununua na kutengeneza magari kila mwaka utachoka kabisa
Mtangazaji UNAWEZAUKADOWNLIGI hivi umeshindwa kupata msamiati sahihi mimi ninaitofautisha redio yenu na redio nyingi zamikononi hebu tafadhalini onyesheni utofauti ktk umahiri wa kiswahili sanifu DOWNLODIGI ahhh kunapatikana kichefuchefu kiasi
Hawa watangazaji Gen Z ni tatizo kubwa,hawajishughulishi kabisa. Kiswahili kina maneno mengi sana wao wanatafuta njia ya mkato kwa kuingiza maneno ya kiingereza chao cha hovyo badala ya kuwa chachu kwa wasikilizaji kujifunza kiswahili sanifu.
Mifumo inaweza ikawa mizuri saana lkn kuna tatizo kubwa la kutokuwepo na watendaji waadilifu kodi inahusisha pesa kwa anaetoa asiekuwa muaminifu anatafuta jinsi ya kukwepa au kupatiwa makadirio madogo akiwa tayari kutoa rushwa kwa afisa anaekadiria kodi ndio maana vijana wengi wanatamani kufanya kazi TRA kwa nia yakujitajirisha harakaharaka msomaji wa habari hii fanya uchunguzi mdogotu juu ya wafanyakazi wa TRA na namna ya maisha yao wafanyakazi wengi sio wote lkn wengi wanamaisha makubwa sana kwa na wanagawana na Serikali ktk hotuba yake Raisi amesema pesa nyingine zinaishia mifukoni nilitamani aanzishe utaratibu wa kuwadhibiti hao ambao pesa zinaishia mifukoni mwao vinginevo TUME /KAMATI/ nakila aina ya taratibu zitaundwa lkn kama hakuna utaratibu maalum wa KUDHIBITI RUSHWA NA ADHABU KALI kama China ambapo waka rushwa hasa hizi za makusanyo ya Serikali HUNYONGWA vinginevyo itakuwa hadithi kila siku
Mungu ibariki tanzania, wabariki watanzania, wabariki wanaharakati na wazalendo wa kila kuchwao busara za watanguliz zaidi ya kupitia kwenye dini na ziendelee mungu hakika utajibu kama mkoloni aliondoka kwa stand order za dunia na kama asilimia 90 walikataa vyama vingi na vikaja na vipi msigwa anashindwaje kuhama