Тёмный
Crown Media
Crown Media
Crown Media
Подписаться
Detailed reports, with reliable investigations and analysis. SUBSCRIBE NOW!
Комментарии
@vivianokalinda8697
@vivianokalinda8697 10 часов назад
Salute sana clown
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 10 часов назад
Sio KIREMBA sema KILEMBA
@kingsmusicfans1416
@kingsmusicfans1416 11 часов назад
🔥🔥
@JumaNgeni-ld5yb
@JumaNgeni-ld5yb 12 часов назад
nimefanya utafiti.mdogo nimegungua wanaolipa kod li inafika serikalini ni watu wa chininlakin watu wenye uwezo anakadiriwa 500mln anatoa maelezo mafupi anatoa 150mln serikalin na 50mln inaenda some where kwa hy serikali inalipwa kdg inakosa kingn
@SAMSONDANIEL-w6n
@SAMSONDANIEL-w6n 14 часов назад
Kipanya lichoree kibonzo hilo gari, hongera sana
@abdulmsabaha6427
@abdulmsabaha6427 14 часов назад
Kwe
@KusekwaKazimili-q7f
@KusekwaKazimili-q7f 15 часов назад
Dereva mziri sana
@guidovadala1965
@guidovadala1965 15 часов назад
Mjukuu wa Bibi Nesi
@JosephMutambala
@JosephMutambala 16 часов назад
BG up
@arafatmbaruku8927
@arafatmbaruku8927 16 часов назад
Utopolo wanamtaka leo kesho
@MakunguRamadhan
@MakunguRamadhan 16 часов назад
👎🏻
@eliasgulinja442
@eliasgulinja442 16 часов назад
Samata na Msuva ni muhimu wawepo pia Kelvin Jonh best wishes Taifa stars
@GSTON7_OG
@GSTON7_OG 16 часов назад
Boshoo badlshaa mistar😅 jombaaa
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 16 часов назад
Professor wa ukweli
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 17 часов назад
Crown media
@samuelmlapwa7858
@samuelmlapwa7858 17 часов назад
Haloo 🙌
@badmankihombo
@badmankihombo 17 часов назад
Boshoo ninja bado Dizasta apo Wana hip hop nnao wakubali
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 17 часов назад
Wachambuzi uchwala hawa
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 17 часов назад
Wachambuzi uchwala hawa
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe 17 часов назад
Wachambuzi uchwala hawa
@IBRAHTZ-ct6ek
@IBRAHTZ-ct6ek 19 часов назад
❤❤❤❤❤
@FectoFeisal
@FectoFeisal 19 часов назад
😂😂😂
@davidsuleman233
@davidsuleman233 19 часов назад
Ukimkataa pacome utamkataa dube utamkataa aziz k utakataa wengi sana
@HamzaKaduma
@HamzaKaduma 19 часов назад
Bella unajua sn
@GerlasVayahi-sr7xx
@GerlasVayahi-sr7xx 19 часов назад
Uyu Jamaa ni bora sana. Anawazidi wengi sana tz
@stonertv9677
@stonertv9677 20 часов назад
@dullaplanet hupendi freestyle. How?? Bruh u sound like u aren't deserve to host the show
@yasrikomba7874
@yasrikomba7874 20 часов назад
Nimewapenda sana crown 👑
@BarakaHamisi-r1l
@BarakaHamisi-r1l 20 часов назад
proffesor mtu maana kabisa
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 17 часов назад
Ameongea vitu vya maana sana. Kwa yeyote aliyewahi kuwa na kampuni au ana kampuni anamuelewa Prof anaongea nini. Mifumo yetu ya kodi si rafiki kabisa, inashawishi sana watu kukwepa kodi kuliko kulipa.
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 20 часов назад
Mbona mwijaku huku katulia yuko smart sana
@adamwaziry2253
@adamwaziry2253 20 часов назад
Raha ya shamba kugombania mipaka....boshooo ninjaaa
@SPM_Mukong
@SPM_Mukong 20 часов назад
Way to go homeboy👊🏿🫵🏿
@YusufSasamalo-uz4ii
@YusufSasamalo-uz4ii 21 час назад
Namuelewa sana prof
@gastordominic410
@gastordominic410 21 час назад
Mpo vzr
@nshaijatedy5512
@nshaijatedy5512 21 час назад
Kocha hajaongea hayo mlioiwekea title
@JumaNgeni-ld5yb
@JumaNgeni-ld5yb 22 часа назад
download ni kupakua
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 22 часа назад
Ila maisha yanazidi kuwa magumu na wanawake wa tz ndio chanzo cha maisha kuwa magumu kwanza hawajielewi pili c wavumilivu tatu wana tamaa
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 20 часов назад
Tuchambulie vizuri hawataki kazi
@rejobu9723
@rejobu9723 22 часа назад
Changamoto tuna Serikali inayo jiendesha kwa gharama kubwa sana Na kuhusu kodi watu tunalipa shida inatumika kwenye nn??
@kwisa4899
@kwisa4899 20 часов назад
Kulipa Deni LA taifa na matumizi ya serikali
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 17 часов назад
@@kwisa4899 Hapo kwenye matumizi ndipo kwenye tatizo, wanaishi kitajiri sana huku wanatuambia sisi ni nchi maskini. Kaangalie bajeti yao ya kununua na kutengeneza magari kila mwaka utachoka kabisa
@watarantatv6182
@watarantatv6182 22 часа назад
Semaji letu la Simba uko na upana mkubwa wa maswali namajibu bora
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 23 часа назад
Mtangazaji UNAWEZAUKADOWNLIGI hivi umeshindwa kupata msamiati sahihi mimi ninaitofautisha redio yenu na redio nyingi zamikononi hebu tafadhalini onyesheni utofauti ktk umahiri wa kiswahili sanifu DOWNLODIGI ahhh kunapatikana kichefuchefu kiasi
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 17 часов назад
Hawa watangazaji Gen Z ni tatizo kubwa,hawajishughulishi kabisa. Kiswahili kina maneno mengi sana wao wanatafuta njia ya mkato kwa kuingiza maneno ya kiingereza chao cha hovyo badala ya kuwa chachu kwa wasikilizaji kujifunza kiswahili sanifu.
@happyfrank-t7w
@happyfrank-t7w 23 часа назад
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 23 часа назад
Red day the throne
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 23 часа назад
Vina km vina
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 23 часа назад
Bella masauti
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 23 часа назад
Juu ya MIFUMO su MIFUMUKO?? Umakini ktk kusoma ni muhimu
@MahmoodAhmed-yt9me
@MahmoodAhmed-yt9me 23 часа назад
Mifumo inaweza ikawa mizuri saana lkn kuna tatizo kubwa la kutokuwepo na watendaji waadilifu kodi inahusisha pesa kwa anaetoa asiekuwa muaminifu anatafuta jinsi ya kukwepa au kupatiwa makadirio madogo akiwa tayari kutoa rushwa kwa afisa anaekadiria kodi ndio maana vijana wengi wanatamani kufanya kazi TRA kwa nia yakujitajirisha harakaharaka msomaji wa habari hii fanya uchunguzi mdogotu juu ya wafanyakazi wa TRA na namna ya maisha yao wafanyakazi wengi sio wote lkn wengi wanamaisha makubwa sana kwa na wanagawana na Serikali ktk hotuba yake Raisi amesema pesa nyingine zinaishia mifukoni nilitamani aanzishe utaratibu wa kuwadhibiti hao ambao pesa zinaishia mifukoni mwao vinginevo TUME /KAMATI/ nakila aina ya taratibu zitaundwa lkn kama hakuna utaratibu maalum wa KUDHIBITI RUSHWA NA ADHABU KALI kama China ambapo waka rushwa hasa hizi za makusanyo ya Serikali HUNYONGWA vinginevyo itakuwa hadithi kila siku
@Sampovoice8088
@Sampovoice8088 22 часа назад
Umetumwa nn
@chumamasunga8855
@chumamasunga8855 19 часов назад
Na ww ni mnufaika wa wizi wa kodi?​@@Sampovoice8088
@Joe-tr2vk
@Joe-tr2vk 17 часов назад
@@chumamasunga8855 Huyu ni mmoja wa anaotafuna kodi zetu,achunguzwe😂
@jacquesmulalirya1704
@jacquesmulalirya1704 День назад
Poa sana
@methoddaniel316
@methoddaniel316 День назад
Khaa uyu jamaa anaongea kwa kujiamini mno
@EpidordMahovu
@EpidordMahovu День назад
❤❤❤ Tunawakubali San DC
@siviholyazawadi
@siviholyazawadi День назад
Uyu msani ni king of thé best Melody
@elishuaisaya4176
@elishuaisaya4176 День назад
Mungu ibariki tanzania, wabariki watanzania, wabariki wanaharakati na wazalendo wa kila kuchwao busara za watanguliz zaidi ya kupitia kwenye dini na ziendelee mungu hakika utajibu kama mkoloni aliondoka kwa stand order za dunia na kama asilimia 90 walikataa vyama vingi na vikaja na vipi msigwa anashindwaje kuhama
@alimkumbukwa8363
@alimkumbukwa8363 День назад
Gefu uko saw kbsa mm pia nawmbia pcme amedrop apo nkuunga mkono gfu Lea n mm n mwananch