HIVI SASA KUNA WACHA NG'OMBE ENZI DOCTER RICK ALIKUA ANACHAMBUA MCHEZAJI MMOJA MMOJA KWA TIMU ZOTE MBILI SI ULAYA AFRIKA HALAFU ANAKUPA MATOKEO LABDA NAHISI HAYA MAMBO YAKUBETI NDIO YSLIOMUWEKA PEMBENI DOCTER KWASABABU TUNGEVUNA MKWANJA KUPIA KWAKE
Unajua Dr Leakey Tanzania hakuna wachambuzi wa mpira kuna washabiki wa mpira na wanazi wa timu zao ambao wamejifunika kwa koti la uchambuzi hawana lolote na hawajui chochote
HAO NI WACHAMBUZIIII AU WACHAMBULIWA....HATA HABARI HABARI ZAO NI ZAKUGUSHI NA HAZINA WAHARIRI WA HABARI...BORA LIENDE...KAMA BOLI LA CHANDIMU MITAANI DUUUH NOMA.....
DR UKO VZR KAKA, LKN KAMA KUNA KUMBUKUMBU INAKUTOKA? MWANZO WALIKUTA TIMU MOJA, WALIVYOGAWANYIKA WENGINE NDIO WAKAANZISHA HIYO SANDALEND, HAO WASOMI WALIANZISHA HIYO TIMU AMBAYO HAIJAGAWANYIKA IKAPATIKANA SANDALEND.
Hakuna asiyempenda Dr Lèaky hasa sisi wa vizazi cha zamani. Alikuwa ni Mchambuzi mahiri wa soka ambaye hana mfano wake hata leo. Ninamshukuru Mungu sana kumwona akiwa bado na nguvu za kuchangia maendeleo ya mpira wetu nchini.
Mshukuru mungu atauliolewa mdogo ni mungu alitaka iwe ivo naalikuwa na sababu pengine usinge kuwaapo alikupa mume watoto ukamjuwa mungu umekuwa sta sema mungu asate na mungu anasababu tena jivuniye wapo wazuri awana kitu atamungu awamjuwi muweshimu mume wakoo kunaneema sana mkiwa wawili utengano ni zaifu majina sikitu kitu ni yesutu
Hapana kabisa dada unachofanya si sawa kabisa najua hata wewe mwenyewe unakielewa lakini kuna roho imekuvaa embu rudi nyuma ulikotoka ukaribu wako na mungu je,inafanana na ulivo leoo unatuvunja moyo watumishi chipukizi weenye huduma kama yako,fanya kurudi kundini bhana
Yaani watu waliochangia mafanikio humtaji mume wake eti wazazi na wachungaji sawa lakini mumeo mpe heshima yake naamini mumeo Ana change mkubwa katika mafanikio yako