halafu kichwa Cha hi clip yenu kinasema eti kukosekana dalili ya kuzuia mawlid ndio dalili ya kusoma mawlid. jee kukosekana dalili ya kula MUGUKA ndio dalili ya kula muguka??????? na ukesema silazima muguka utajwe Kila kinacholewesha ni haraam. basi ujue silazima mawlid yatajwe kwani Kila bid a ni upotevu na upotevu mwisho wake ni motoni 0:29
kama ni kweli Abdul wahab alikataza watu kukusanyika na kusoma mawlid basi hakuanza yeye Rudi nyuma tangu maswahaba tabiin maimam wanne wote Hawa walikuja kumpinga mtume??????? iweje mashia wanzilishi wa mawlid wanaotukana maswahaba ndio waje wamlinde mtume???????
Kwaio tangu alipokuja huyo muhammad ibn abdil wahab Muhammad kafutwa saudia ?na jee saudia wanamtume gani ?na jee Kuna nchi gani Watu walio hifadhi Qur'ani kushinda saudia ,na ww umehifadhi juzuu ngapi?
Kutosoma maulidi saudia pekeake sio hoja hata kama nao watasoma itabaki ni uzushi tu munachuki tu na hao saudia kwasababu wameshika tauhidi na sunnah nyie bakini na upotevu wenu
Hakuna dalili juu ya makatazo ya kupiga adhana katika swala ya janaza pia swala ya idi mbili pia Sunnah za kabla ya swala na baada ya ya swala Je itakua dalili ya kufanya hayo Mfano mimi nimeswali swalatul fajr rakaa nne kisha nikataka ushahidi wa kukataza ukikosekana je itakua yafaa kwangu?
@@swalehali9760 Wamaanisha kwamba mtume hajafundisha watu namna ya kumsherehekea na kumfurahikia yeye? Ikiwa jibu lako ni NDIO je kafundishaje dalili iko wapi? Ikiwa jibu ni HAPANA je hayo mafunzo unayo fanya katika ibada hiyo ya maulidi nani kakufundisha?