Watangazaji andaeni maswali unapoenda kufanya interview na mtu sio dhambi kujiandaaa nyie mnaonekana mnakurupukaa ndo maana unaongea sentensi ndefu ambayo halina swalii.
Mtangazah too many stories…achia mic muhoji mtu tunahitaji mahojiano sio story😂😂😂😂…sasa mara chid benz wasanii wa kike mara dudu baya anaongea ukwel dah hadi dudu baya kashachoka tyr n intrvw
Huyu Dudu baya ana akili kubwa sana mpaka mtangazaji anaonekana punguani uliza maswali ya maana upate majibu apo kwa konki unahoji msanii mkubwa then hujui kuulizwa maswali
Mtangazaji hajuwi haana thaaluma yoyote kwenye kazi Dudu baya naye amebakilia kupayuka payuka tu ni kama mziki ulimutema sababu angekuwa studio kuliko ma interview kila siku na hali inaonekana duni
Asante mchungaji hao wandishi wanauliza ujinga Kila kitu diamondi na diamondi ni mtu mzuri ni kioo Cha jamii wao wanamuongelea vibaya. Lakini wewe mchungaji unajibu vizuri kuhusu diamondi mungu akubariki
Nyadundo hana akili mshamba mbaya Zaidi amerudia matapishi yake mbaya Zaidi yule ni Bibi kwasasa haoni Mario amechukua kinda amepata faida ya mtoto na anauwezo wakuogeza tena BBY ndiyo fulaha sasa hao vibibi wanamfilisi TU 😅😅😅
YAANI UNAONEKANA KABISA UNA MATATIZO UPSTAIRS.WAMEENDA WENGI KULE KWA SHUGHULI ZA MUSIC AKIWEMO JAY Z, SWITZ Beats,Busta rhymes,burna boy,davido,wizkid.Acheni ushamba.
Mshamba ndo mbwa wewe sasa basi hao wote washaa liwa kiboga acheni kumwabudia binadamu kinawakera nini wakati ameshajizalilisha mwenyewe si yeye binafsi hataki kujiamini ndo maana atachezewa matako hadi nyumba anayopanga inuke kinyesi
@@IssaBacar-i2i We we mbwa tu.ukisema were ndiyo watu.Waamini acha bangi.Diamond platnumz kwa shughuli za muziki na ataendelea kukutana mastaa wakubwa duniani yeye siyo kazi yake kuwachunguza.Mbona were in mwehu kwahiyo rafiki zako ni wehu.Kavute bangi tena ukalale....DIAMOND PLATNUMZ NUMBER ONE ARTIST IN AFRICA.
Huyu mdada kamsaidia sana Diamond kutoka alivyokuwa ndo wachipuka, kwa nyimbobya Mbaghala ambayo ilifanya vizuri sana. Diamond yuko na jukumu la kuhakikisha huyu mdada yuko sawa kimaisha pia. Ubinadamu tu