WATETEZI TV is a Not-For-Profit online Television established in June 2018 by the Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) to produce online content related to human rights and the specific work done by the Human Rights Defenders in Tanzania and beyond.
Watetezi Tv operates in lieu of all applicable laws. It will not be responsible to any subscriber who will post anything contrary to the applicable laws.
Ustawi wa jamii au nyie kinamama watetez wajamii nawote mlio guswa na wanawake Hawa mkawaokoe kwenye ndoa kandamizi jitokezeni mana mama ndokikakitu inumiza sana
mi nimecheka tu hapo anaposema nimeoa ili nkiona huyu anasumbua napita hku duu hatar, wee mim habar ya mapanga siitak kabisa nitaondoka mapema sana huwa spend kuweka roho yang juu juu
Mjinga xnaaaa huyo mwanaume unapenda kuoa kutunza hujui mbwaa wew ingekuwa mim suwezi kurundisha mahali tena ningekupinga uhakika bila kujua wew ni Nani ety kazeeka mbwa wew kipindi ulienda kumuoa ulikuwa hijui kama ni mzeeh nyoko wew
Yani huyu mnamuhoji bila kimpa kofi anauliza mali gani eti wamezeeka eti nna roho nzuri yani muongo mkubwa eti nimemkamata mara mbili we si umesema kazeeka nani atamtaka?
Wee bi mkubwa usirudishe mali kwa huyo mumeo Zeen wee ukirudisha mali zake je yeye hatakulipa nini jinsi Halivyo Kutumia na kukuzalisha nyie Ondokeni mkatafute maisha mbele Ya safri ndoa mwachie mwenyewe
Hakika kama mzazi ama wazazi waliwafundisha watoto wao kujitafutia vyahaki na washukuriwe na MUNGU awape wazazi hao maisha marefu ili waishi siku nyingi wawaone wajukuu wao wansvyo pambaniwa na watoto walio wafunza kujisimamia kwani wanaume wengi wa sasa wanahepa majukumu mama nae akiwa tegemezi kwa mumewe anakuwa mzigo usio na faida ila kama mwanamke atajitafutia unga kwanjia ya halali mbona huyo mwanaume hushindwa kukutumia apendavyo juu anaelewa kuwa hata ukitoka uende zako bado maisha yatasonga mbele kwanjia safi hata yakuzidi kwake
Mkurya huyo yan hadi lafudhi inasikika Yani hawa watu wa huku wanaunyanyasaji Sana Yani hawana hata huluma na msipo angalia vzur atawachinja hao wanawake maan wanarooo mby San
Mke wa Kwanza ndo wa halali wa pili nikisirani wakuharibu ndoa but watu NI hatari bin danger,.. conclusion never marry more than one wife if you don't want to die of stress pressure and hyperglycaemia..a sorry and sad state of affairs 😢😢.. this man is a looser..
hivi huko mna mila gani? eti mwanamke akirudi kwao urudishiwe mahali 😂😂😂😂!!!!! yaani Wewe umemtumia mwanamke kwa muda afu urudishiwe mahali? tena unaonge kumuua!! mimi kama mzazi ukinipa mahali natumia usitegemee kukurudishia kitu kwakuwa wakulya na wasukuma nimeshawajua nawasainisha mkataba kipindi nakuozesha tunakubali usje kudai
Hivi unawaza kuludisha ngo'mbe jamani mnachekesha sasa huyo mwanaume ataludisha uloda aliokula mpaka akakuzeesha kwa kukula uloda ataludisha ? Hapo jiongezeni wenyewe wanawake msipojiongeza utumwa juu yenu milele
Umrudishie vyake ili iweje? Kakuzeesha na kukuchosha halafu umpe chake kipi? Usimpe hata mia rafiki yangu.Huyo baba wa hovyo sanaa.Anatamka kabisa kuwa mmezeeka mtaolewa na nani.Tokeni hapo atawauwa huyooo.