MARA NYINGI KATIBU MWENEZI WA CCM HUWA MUWAZI NA HAEGEMEI HATA PENYE DOSARI ,KWA KWELI ANAJITAHIDI SI SAWA NA WANAOCHOSHA MIDOMO YAO KUSIFIA HATA KISICHO NA SIFA HALISIA .
eti leta wafungwa wachimbe mitaro..we umeona binadamu wamekua ni digger au caterpillar la kuchimba mitaro??? eti lete wengi wachimbe mitaro...binadamu wengine ni wakoloni sanaa
Ni kweli mke anaruhusiwa kuzika mumewe lakini km ni mji ni manispaa ataendazikwa huko changanyokeni kaburi litapotea ni vema kama familia Wana makaburi ya familia si akazikwe huko ni vinzuri makuburi ya pamoja ni maelewano tu poleni
Kazi nzuri mnafanya ila nilikuwa naomba muwaulize wahusika #mkurugenzi, #mkuu wa wilaya, #mbunge n.k hivi ule mradi wa bank ya dunia uboreshaji wa miundombinu ya barabara na lami umepotelea wapi maana tuliambiwa toka mwaka Jana November kwamba mkandarasi atakuwa site ila mpaka now hamna chochote. Minong'ono mtaani ni mingi sana hebu tusaidieni kwa Hilo @kahama tv