Hongera Sanaa Mhe: DC Arumeru,DED Meru, Mhe: Mbunge kwa utatuzi wa shida za wananchi wa Meru. Mratibu wa Mwenge Mr. Say,Hongera Sanaa kwa Simulizi nzurii Sanaa na hakika unajua Kuelezea Miradi.
Mnapanga soko wakati limeshaharibika tangu mwanzo ,shida ni hivi ,eneo la soko linapotengwa halmashauri inaruhusu na kuwauzia watu wengine viwanja ndani ya soko unakuta maduka yanajazwa ndani ya soko na kufanya eneo la soko kuwa dogo sana ,hilo soko halitapangika labda eneo liongezeke . lakini .Barabarani Kwa biashara haifai
Wananch hawana uelewa wala hawajui serikali inafanya nini,,nashaur mikutano ya hadhara Kwa wananch ili kama Wana maswali waulize,,uelewa wao ni mdogo ktk miradi mikubwa
Hongera h/meru kwani kupokea fedha ni Jambo moja na utekelezaji ni Jambo jengine na utekelezaji ndio haaswaa wameshindwa wengi,, mwenyeenz mungu akudumishen ktk utumish uliotukuka
Asante mama ila ilani ya chama ilikua ni miundo mbinu hatuna Barbara ,kwanza Barbara ya kibaoni had ngarenanyuki ,mtangulizi wa mama alisema ataanza nayo kwa lami