Ninyi ni Baraka sanaaaa, Mmebarikiwa sana. Ninyi ni nguvu ya Uchumi, Ninyi ni chanzo Cha amani na utulivu wa kujenga Uchumi wa Familia na Taifa. Tunawahitaji sana.
Unaeleweka sana mwl wng, lkn tulifanya makosa kutokuchukua Namba yako ya simu coz kunawatu bado wanaenda kinyume na maono yenu Kwa watumishi ngaz ya chini.
Muheshimiwa mungu akutunze ila kabla hujahama mkoani kwetu tusaidie wana makambako kata ya maguvani tunateseka sana barabara ni madimbwi mtupu tafadhali 😙🙏