Eh baba mungu sikia maombi yangu .naomba unifunguwe ufahamu wangu na, mizimu zote zakuniaribiya maisha ziondoke katika jina layesu kristo wanasaleth kupitiya maombi ya mutumishi wamungu bishop elibaliki sumbe mungu akubaliki na akuzidishiye Amena Amena kubwa
mungu wako ni mungu aliye hayi kweli nina amini nomungu yupo kweli nina teseka na pepo ya ukahaba mtumishi wangu niombee hali ya usherati itoke ndani yangu.