Is an online television registered with the Tanzania Communications Regulatory Authority -TCRA for reporting Religious news, information, social events, our registration number is
In addition Breeze Tv reserves the right to delete any comments that violate the laws, policies and guidelines of the Catholic Church or RU-vid.
Ni runinga ya mtandaoni iliyosajiliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania -TCRA kwa ajili ya kuripoti habari za kanisa, taarifa, na matukio ya kijamii, namba yetu ya usajili ni
Aidha Breeze Tv ina haki ya kufuta maoni ya mtu yoyote/Watu yanayokiuka sheria, sera na miongozo ya Nchi, Kanisa katoliki na youtube yenyewe.
Ni ujinga kufikiri na kudhani kuwa karama za Roho Mtakatifu huuzwa kama pipi. Hiyo ndiyo dhambi ya "Simonia". Kasomeni habari za Simoni mchawi na Mtume Petro kwenye Biblia na ufafanuzi kwenye KKK
C kila aneneye kwa lugha ngeni ni roho mtakatifu, watuwangu wanaangamia kwa kukosa maarifa, siwalaumu sana, Bwana awaonekanie katika kuomba kwenu kwenye imani iliyo IMARA Ifundishwayo kanisa katoliki.
Wakristu tumezidi kupenda mambo mepesi mepesi, kumfuata KRISTU hakuna urahisi. Mkristu beba msalaba wako mfuate KRISTU. Achana na manabii wa uwongo wanaorubuni kwa maneno matamu mdomoni! Usikubali kupeperushwa huku na huko. Mkatoliki baki njia kuu. Aksante baba Rwa'ichi kwa neno la uzima.