Ongereni sana wakristu kutoka Boise ID. Ila padri wetu anatokea wapi? Kwa kuwa anavyoongea ni tofauti nasi. Lakini courage vraiment. Mungu aendelee kuwabariki.
Nabatu ya ferme LUBANGA tuko nyumayako mzee William juyakukutaharifukuhusu watu ambao hawataki sifa zako Wale ambaowanajiita wazalendokumbeniwamwizi Sawa uyu bandit Brown muuwaji,'waku Lwama brauni.
Ahibu sana tena sana.Kanisa la Free Methodist Church ,sio kanisa la Wabembe ni kanisa la Wazungu. Wa missionari wako na kazi gani ? Pelekeni project yenu kwa makao makuu ya Free Methodist Church. Pesa ya compassion na Msawato iko wapi?
HONGERENI VIJANA KWA KAZI NZURI YA KUCHEZA MOVIE. NB: kama ushauri mungekuwa na weka Contact zenu pengine kuna wale wanaweza kuswa na kazi munazofanya. MWAKOLE WA MANGA BABUCWA.
Kweli ongereni kwanza kwaatua ambayo mmefanya mungu awabariki sana Na ujumbe tumeupata natume usikia ningeomba pia kwa wachristo tusifumbie macho ili Jambo ndugu zangu tusapoti wenzetu wa fizi kanisa imalizike Pongezi pia TV yetu kwa juudi