hii ngoma nishaickiliza xan mara kwa mara ila leo nilipoickiliza tena ndio nimejua kuwa ile list ya ngoma zake kwenye album ya mbuzi kazitaja kamtaja abigail cham kamataja marioo kamtaja d voice kamtaja jay melody kataja fame kataja mbwa mwitu kaitaja she mine yani kzitaja wakati anachana katikati ya mistar kuanzia dakika 4 pale alaf katika ule ubao pale alikuwa anachora list ya majina ya ngoma zilizopo kwenye album nani kaon kama mimi au nani kenda kuangalia baada mm ku comment apa tujuane