Snashtz ni chaneli ya uchambuzi wa kina na hakiki katika upande wa teknolojia na filamu pamoja na "games".
Timu yetu yenye uzoefu ya wapenda teknolojia huzama katika simu mkononi, kompyuta, vifaa mahiri vya nyumbani, na mengineyo, ikitoa ukaguzi wa kina, mafunzo na ulinganisho ili kukusaidia kufanya maamuzi sahihi kuhusu ununuzi wako wa kiteknolojia.
Ukaguzi wetu wa filamu hujikita katika ulimwengu wa sinema, ukijadili kila kitu kutoka kwa wasanii wakubwa wa Hollywood hadi filamu huru. Kujitolea kwetu kuwasilisha maudhui kwa Kiswahili kunaifanya iweze kufikiwa na hadhira pana zaidi ambayo huenda isijue Kiingereza vizuri.
Watangazaji wetu wa haiba huhakikisha kuwa video zetu sio za kuelimisha tu bali pia za kuburudisha, na hivyo kuhakikisha utazamaji wa kufurahisha kwa wote.
Kwa hivyo, iwe wewe ni shabiki wa teknolojia unayetafuta vifaa vya hivi punde zaidi au mdadisi wa filamu unayetafuta uhakiki wa maarifa, Subscribe kwa Snash Swahili Tech na ujiunge na jumuiya yetu mahiri.
Babu unapoonekana unaboa video zinachunda babu weka video tuu kama mwanzo acha kuuza sura....ukiiweka video inakuwa na sauti nzur sass kuonekana unazingua babu
Sasa Itakuaje kwa yule Villain Kang the Conqueror. Tulie muona ktk Ant man and wasp Quantumania. Mana marvel ukienda ktk Site yao hata sahiv, ukiangalia mov inayo kuja ni Avengers Kang Dynasty. Mwaka 2026. Kwaio walivo weka Avengers Doom's Day mwaka huo huo ndo wame i Replace Kang Dynasty Ama. Mana itakua Multiverse saga Ya kang the Conqueror ndo imeishia hapa. Akati Loki season 1 and season 2. Inatuelekeza Tuangalie kitacho fata ktk Avengers Kang Dynasty ilio Canceliwa baada ya kumuua Who He Remain. Sijaelewa, Marvel wanachanganya sana
Imekuwa replaced na hii mpya ya Avengers: Doomsday, baada ya actor Jonathan Majors kukutwa na kosa la kumpiga mkewe, akafutiwa mkataba na Marvel Studios, hivyo Avengers 6 ambayo ni Secret Wars ilitakiwa kufuata baada ya Kang Dynasty... lakini Marvel wameamua kuingiza villain ambaye atakuwa anagusa idea yao moja kwa moja ya Multiversal Saga, hakuna mwingine kwa wakati huu zaidi ya Dr. Doom
Watakavyofanya ni kwamba iron man atarudi lakn akiwa wa altenate universe kisha atakutana reeds na irone man anaamin yeye ndio smart person alive so kukutana na reeds ambae n smart zaid yake na yeye alivy na ego ndio atajaribu kua smart zaid ya reeds ndipo dr doom atatokea apo
Kwenye Deadpool & Wolverine cameo mwingine ni Henry Canvill alikuwa Wolverine kutoka multiverse tofauti na yule Wolverine (Hugh Jackman) pia kumbuka Henry Canvill ndio aliye Cast Super Man kule DC Comic
Ujue marvel studios wapo kasi kwenye movies zao ndio maana unaweza kuelewa ila dc ndio changamoto movies zao nyingi ni zile zile kwa mfano joker inayo tarajiwa kutoka , Batman, superman mpka wanatuboa fansi zao kwa sababu hata sisi tunatamani tuone superheros wapya na wakiwa kwa pamoja kwenye justice league ila hapo slow sijui wana mpango gani
Kaka hapo Una mix mafaili ya MCU Na DC COMICS ni makampuni mawili tofauti na kila kampuni Lina superheroes wao Sasa wewe unaongelea justice league ya kina superman wakati wao sio MCU Ni DC COMICS
Dah kaka snash ivi umefikir kama Marvel Studio wanamrejesha IRON MAN katika AVENGERS DOOMSDAY NA AVENGERS SECRET WARS yani kaka snash skuamin kama Marvel Studio wanaweza kumrejesha IRON MAN na yeye kakaa nafasi ya kwanza katika picha dah yani saiv Marvel Studio wameamua kaka snash tz hee tufanye riviyu kama masha biki zako na movie ile ya DEADPOOL & WOLVERINE kaka 🫡