Ila wazee wazamani walikua na akili walikua wakiwaambia watoto wao kaoe nyumba Ile ua Ile mule hukunaga waizi hakuna Malaya hawaanguki kifafa Wala vichaa ktk ukoo Ile hakunaga Leo hataliiiii
Daah movie mzuri sana imenifanya nikaachilia wote walionitumia vibaya juu ya mapenzi ili mungu anifungulie milango ingine..shey shey I love the wise words from you and the whole crew big up..much love from Kenya.