Sio kuwa hana hela wenda hela halizonazo na ukubwa wa umaalufu unamfanya ashindwa jenga mjengo gan kulingana na ukibwa wake kwaiyo mummpe mda mzeee wa kunyamaza na vitendo kufata simba la masimba dangote😂 sa kama mwijaku chawa anagorofa je mondi akituonyesha mjengo wake utakuwa wa namna gani si chini ta maji
Why anakataa pongezi za harmonize why kila kitu wanachokifanya wanamuongelea harmonize but kuhusu samia harmonize anakosea tena sana watu wanatekwa samia anakaa kimya why kwahilo my brother harmonize nakupinga bro
Mnaosema ni ushirikins kumtumia shetani ila mungu ameruhusu utumwa muda mrefu na kumtumia jini ni njia ya kumfanya mtumwa na tumtaje nabii suleiman aliwafanyaje majini na ndy elimu kubwa ya kumuendesha jini na uchawi ukaja nyakati hizo kwhy KUWENI WAPOLE HAKUNA JINI ATAKAYE KAA JUU YA QURAN ndy maan majin wanafany bila kupenda😊
INASIKITISHA KWAKWELI WATANZANIA WANALIA #NGORONGORO #MAMA #ANAENJOY NA WASANII anakula bata Dah! KWELI ARRIJAL KAUAMUNNA ALANNISAH #INASIKITISHA_SANA NANYIE WASANII HAMUONI KAMA KUNA WATANZANIA WENZENU WANATAABIKA NGORONGORO AU MNATHAMINI PESA MBELE KULIKO UTU ??
Yaani Kiba hata kuongea hajui,anaonge umama mwingiii,akili Yake Haina mpangilio,anaongea kama mlevi flani hivi,kama Yuko baa hivi,na wasanii wake anawatambulisha kilevi,yaani huyu ni King wa walevi wenzie,