Tamaa ya Mali ndio chanzo cha maovu yote duniani, haswa Mali ambayo mwanàmke anahusika. Wenye shida kubwa hapa, na ambao wangetumia busara pasingekua na mgogoro, ni mama, na mke WA marehem. Bibi anataka Mali yote igawanywe nusu kwa nusu! Mke anaona sio sawa. Wivu, tamaa Inasambaratisha ndugu, familia.
Rest in peace my dear Babaji. I’ll always remember the fun games and memories we had, I’ll miss you every day. You’ll always be in my heart and thoughts. -Raj🕊️❤️
Hiyo siyo kazi ya Samia,bunge litunge sheria ya kuwatibu wananchi kutokana na mapato yao,hata wanaofariki nao wahudumiwe kutokana na kipato chao. Kwa hiyo serikali isaidie gharama za malipo kwa wasio na uwezo wa kulipa,siyo maneno ya Makonda kwamba kwenye mkoa huu,je mikoa mingine nani atashughulikia?. Kwa akili ya Makonda mkoa wa Arusha ndio Tanzania pekee,hakuna watu wengine Tanzania?😂