How are you My name is Raheem Rai but here on RU-vid I use RAI TV, This is for all my stakeholders almost on the RU-vid channel Of Rai tv which is mostly involved in uploading Content with values related to DOCUMENTARY,POLITICS MATTER,NATIONAL MATTER,LONG FILMS, SHORT FILMS, ANIMATED, FUNNY FILMS, INTERVIEWS , SPORTS , ENTERTAINMENT AND EVERYDAY NEWS
YAN NYIE NA SIASA ZA HIVI NDO MNATAKA TUWAPE DOLA SAS NYIE NA CCM MNAUTOFAUT GAN LABDA NIWAAMBIE TU NYIE KUHUSU KUSHIKA DOLA SAHAUN LABDA MIAKA YA HUKO MBELE BADO HAMJA KOMAA KUONGIZA DOLA NYIE
Alafu wa Bongo bnh Sasa Bila matangazo sisi Tukapate hela wapi Ahh ukiona hutaki kuliona Peleka mbele ukiona hutaki kabisa Achana na sisi, Bored Hutaki matangazo wakati hutumia hata bundle la buku halifiki ukiangalia acha roho mbaya
Kuchoma vitenge ni muongo wa mawazo makodi kibao kwa kwa mfumo huu wa kujaza makodi kwenye biashara moja ni unyanyasaji wa kibinadam umasikini ukizidi wa wananchi wanakata tamaa na kuwa na msongo wa mawazo ukifanya vizuri watoto watakupenda na hawatakuwa na msongo wa mawazo