Tena wala usitake kufananisha maibadhi na kundi la kisalafi fekii 😂 hamuna hoja nyinyi porojoo jingii hamuna jengine kama wewe kweli unapenda haki basii hizoo riwaya zenu za hadithi za kutungaa ziondosheni kwenye vitabu vyenu maana zinaenda kinyume na qur ani
Wewe mzee unaonekana hujielewii wewe kwa sababu unaposema maibadhi wanaitiqadi mbovu maana yake utakuw umeitukana qur ani kwa sababu kwenye mambo ya itiqadi maibadhi hufuata qur ani wala hawafuati riwaya za hadithi kama munavyo fanya nyinyi ndio maana mukawa munaitiqadi mbovuu kabisa wallahi ni aibu hasa ata kuzitajaa itiqadi zenu ety uwombezi wa mtume s.a.w siku ya kiama utakuwa kwa waliofanya madhambi makubwaa 😂😂😂 wallahi hii riwaya ya hadithi ni batili kabisa kwa sababu inaenda kinyume na qur ani na kwa taarifa yako kama haujui sisi maibadhi ikiwa riwaya inapingana na qur ani basi hiyoo riwayaa hatuikubali kwa sababu haiwezekani qur ani iseme vyengine halafu mutuletee riwaya za hadithi za kutungaa halafu tuzikubalii 😂😂 sasa kati ya sisi maibadhi ambao kwenye itiqadi tunafata maandishi ya qur ani na nyinyi masalafi feki ambao kwenye itiqadi munafuata riwayaa sasa nani aliekuwa mpotovuu ? 😂😂 Jibu unalo mwenyeee maana unaposema wanofata qur ani kwenye mambo ya itiqadi halafu mukawakufurisha basi mutakuwa wapumbavu ni nyinyi wala sio wao au qur ani nyinyi hamuiamini?? 😢 Maana huwezi kukufurisha mtu ambae anaefata qur ani
Ushawahi kusikia IBADH akamtukana Swahaba huu ni uongo na fitna dhidi ya waislam na UISLAM muogope Allah usione haya mambo yanapita hivi hivi ujue ewe kibaraka wa Magharibi na MAREKANI na SaudiArabia
Huyu dogo mafuta ana akili ajui kuishi na watu ata ao mateja na wala unga wenzake sasa hao mmaibadhi anawaambia hivyo atakua na macho gn Kwa Tanzania hii atakapopita
Mh sasa lengo lao nini kubainisha haki watu hawataki, watu wanapenda dunia ndomana mnawaona Salafi wabaya kwasababu wanamambo ya mtume na maswahaba maswahaba walokua hawapendi dunia nyinyi saivi mnatamani uwezo wa kifeza sio malipo ya akhera
Unayajua yalipo nyoyoni mwa watu Malengo=makusudio=nia mahali pake ni moyoni. Mwezetu umejuaje? Anyway, kwani hayo malengo yao mabaya ni yapi? Funguka uwapatie faida Ummah je una hoja au viroja?
Mbora wetu katika imani niyule anae zungumza kwa Dalila za maneno ya mtume muhammad صلى الله عليه وسلم yaliyo thibiti sheikh abdullah humaid yuko sahihi allah amuhifadh na am amkinde na makhawariji na watu wa bidhaa pia watu washiriki n.k
Uko sahihi wapi ww wacha urongo wapi mtume alifundisha kutukana wanazuoni wapi mtume alifundisha kukejeli watu huyu ni mpotoshaji huyu humeid na anachuki na hana ajuwalo
@@saba-gv3mj yeye ni sheikh ambaye anachunga ulimi wake anatamka kwa hadithi za mtume zilizo thibiti na aya za quran tafakari..ndugu dini ya kiislam ni sahali nyepesi sana ila watu wasio soma wanaona kakosea..fuatilia alicho kisema kwa vitabu kama kadanganya ummah..
@@amirharoon941 ww wacha urongo mtume s a w alisema musitusi wanazuoni tena hadithi sahih ww unasema ati anatoa kwenye aya aya hazielewi huyo quran yuwaisoma makosa huyo humeid usimtete sisi twamfuata mtume na alisema kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni wakijiona wanailimu kumbe wanapotosha ummah moja wao ni huyu yani mawahabi wapotoshaji mashekhe wao karibu wote huyu huyu waenza mfananisha na wanazuoni kua na akili yakuzaliwa na ilimu ukiongea mambo ya dini
Jambo la kuzingatia ni kuwa muislam halazimiki kufuata kila kitu cha maulamaa hata kama kajinasibisha na dhehebu lake.Hiyo ni amri ya Mungu.itkadi ya kiibadhi ni kuchukua jema kwa ulamaa yeyote na kuachana na baya la yeyote''.Hayo mengine ya kina Tiwani na wengine ni tafsiri yao na wana uhuru wa kuzngumza..KIMSINGI tafauti ni katika kuwawekea darja masahaba.HUWEZI kulazimisha kuwa Ibadhi lazima utukane baadhi ya masahaba.