@@ElizabethFumbuka ni kweli, lakini mbali na yeye unamjua mwanamke mwengine yoyote ambaye ameshaolewa na marais wawili wa nchi tofauti duniani? Hii ndio bahati niisemayo mimi hayo mengine ni kawaida tu
Huyu ndio Mwanasiasa Nguli mwenye Mapenzi ya Chama na Nchi yake katika kuleta MAENDELEO na sio kutaka Cheo ili kushibisha TUMBO zao. Sio Kina MwaFudodo wakikosa Cheo basi inakuwa Tabu, kuhama Chama kutukana n.k. Allah Akulinde na Akujaalie mwisho MWEMA. Ameen Ameen.
Ni mtu pekee kutoka Afrika Mashariki kuhudumu Umoja wa Mataifa na Umoja wa nchi huru za Afrika. Ndie mtanzania mdogo kwa umri kuiwakilisha nchi kama balozi wa nchi ❤
Sheikh mkubwa duniani kote anaheshimika anasema MAULID HAYAFAI NA YANAUSHIRIKINA LAKINI mashehe wa Tanzania hawataki kuyaacha ,mtoto wa narehemu bachu anafanya bidii kubwa kuwaelimisha waislamu yakwamba maulidi kwamba hayafai lakini baadhi ya waislamu wanampinga ,,
Jamaa kaanza siasa tangu akiwa dent shuleni. Nyerere kakutana nae bado akiwa shule, kisha Babu akamchukua chamani kisha mzee Karume akampa ubalozi akiwa mdogo tu. 🎉🎉🎉🎉
Kwa ufahamu wangu Africa Mashariki hatujawahi kuwa na mwnachuoni(Ulamaa)Tangia uislam uingie au kama nimekosea naomba kurekebishwa badala yake tumewahi kuwa na tunao twalabatil-ilm Almustaafiiduun.
Hakuwa kadhi ya nchi mbili ,bali ni nchi moja, kwa sababu pwani yote ya kenya na pwani yote Tanzania na zanzibar na Comoros na upande wa somali ya pwani yaani south somali, hii yote ilikuwa ni nchi moja zamani
Kahudumu Zanzibar kama KADHI mkuu na kisha alipohamia Kenya tena kwenye miaka ya 60s akahudumu kwenye hicho hiyo kama KADHI mkuu. Kumbuka hakuwa kadhi wa Mombasa bali alikuwa kadhi mkuu wa Kenya
Kama ulikuepo ndugu yangu mzuri kwa 7bu watu wa zanzibar hasa kusema ukweli silka zao ni njema na za kujistiri hata ukutoka nje kidogo watu wanaiona ni nchi ya dini sana ya kiislam