Sasa wewe kijana uwezi kuogoza na chama chako icho atukuelewi mwache mama afanye kaZi wezako ndio zuri mbona zenu ndio chafu sanaa chafuu za chadema chafuu sanaa acha zako wewe
Sisi pia tunajua pia bunduki risasi ni za watanzania ambazo zili mdhuru tundu lisu,ila ungejifunza kusikiliza na kumuelewa tundu lisu yeye hajasema atazuia kwaajili ya pesa ya matibabu la bali kama atashinda kesi zidi ya serikali na tigo malipo yake kama hayatalipwa kwa wakati ndipo ata shikilia mali moja wapo za watanzania ,kaahiyo swala la kisheria sisi watanzania hatuwezi kuingilia kama zikikamatwa ndege tutajuwa tundu lisu haja lipwa stahiki yake
Allah awasimamie wanaosimama kutetea haki za wengine Usiache kutufuatilia kwenye mtandao wetu wa WhatsApp kwa kujiunga kwa link hii ya chini Follow the Uvungu Tv channel on WhatsApp: whatsapp.com/channel/0029Vao62vwCBtxKAtjKdH35
Mnahangaika nn ? Wakati wa viburi vya wanadamu kushushwa unakaribia ,unyonge mnaoonyesha mbele yao ,mtauona kwao mbele ya mabilioni na mabilioni hawatakuwa tena na jeshi la kuwatetea!!!! Tafteni kwanza ufalme wa Mungu
Kwa kweli yaan kwan marahisi wetu wana nn mbona haya mambo yamekuwa yakiendelea na bado yanaendelea Allah atulinde jamani maana kwa kweli watu wanauwawa bila sababu zozote zile
Hii nchi itatubidi tu Sasa tuitishe ombi la nchi nzima kwakweli... Siasa imekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani kwa kiasi kikubwa!!! Mm siyo mwanachadema wala mwana CCM ila hakika hiki kinachoendelea wanahukumiwa vibaya wanachadema