Mabadiliko, Mageuzi,Mapinduzi,Miujiza. Mnastahili pongezi nyingii.. kwa muujiza huu maana hii taasisi haiko maskioni na vinywani mwa watz. wengi kama taasisi nyingnezo mfano hiyo no 2 Utt.
Mimi ni Mwanafunzi wa chuo Nipo Mkoa wa Mbeya nina shida na mafunzo, Kila ninapotaka kulipia gharama ya mwanafunzi nazuiliwa naambiwa hayajaandaliwa kwaajili ya wanafunzi natakiwa nilipie laki nne kama wanufaika wengine nakwamia apo naomba mnisaidie Nina kile kiwango Cha wanafunzi nataka kujifunza
Baadae mtawatafuta kwa tochi mfano saivi mkoa mara nyangenyange, rikong'ai, rimelanchoka hakuna hii kutokana na kuwateketeza, wenzatu wanawatunza lkn tunapewa tuwamaliza
This approach, according to ecosystem services or balance , is prohibited. You need to think the right solution to run away that birds but not to apply birdcides . We depending to each other so, even the birds have the right to survive according to wildlife policy. Tutakosa hata viteweo kwa mfumo huo. There are lot of methods of disturbing birds not to kill them.
Inasikitisha sana kwa uamuz huu wa kuteketeza viumbe hawa , haukuwa njia sahihi . Kuna kitu kimoja hapo wanaohusika hawajakifahamu.. na inasikitisha sana kuuwa viumbe ambao ni sehemu ya pato la taifa 😢. Wizara ya Kilimo ikae na wizara ya Maliasili wajadili njia ya kufanya
Hawa kwelea kwelea, hamkupaswa kuwaua kwa sumu. Mlipaswa mfanye utaratibu wa kuwanasa. Ili wawe vitoweo kwa wananchi. Napia hata kuwauza kwa wanao wahitaji.