@@MusaMkembela-ex6ev kwani majerah ndiyo yanayo fanya mchezaji awe mbovu .na Manisha kiwango cha mchezaji mda mwingine kina onekana ,akiwa natimu yenye wachezaji wenye uwezo.
akili ya huyu jamaa simba mshukulu refa msimlaumu alowasaidia sana kawapunguzia magoli alitaka kufanya kama mwaka jana kwenye fainali ngao ya jamii tunafunga magoli halali anatuminya