Mi sipendi kuwa mwanasiasa kwakuwa haujui atakaekuteka ni Nani. Unaweza kutekwa na Chama twawala na pia unaweza kutekwa na Chama chako ili utumike Kama mtaji.
Yaan mmepoteza kabisa nyinyi den halimfungu mtu lkn nyny mmevuka mipaka mpaka mnaamua kutoa uhai wa mtu kweli imani sasa imekwisha bora mfutwe tu hamfai ktk jamii
Katiba haieshimiki Tena yaani inachoongea katiba ni kingine na wanaoisimamia wanatenda kingine kwaiyo askari anavyojisikia kufanya na afanye tu afanye tu kweli?
Viongozi wetu mnaipeleka wapi nchi hii!!askari ana ruhusa gani ya kuua Raia!!acheni kuwatumia askari vibaya kwa ajili ya manufaa yenu binafsi ya kisiasa.
Mange hasemagi uongo ni Kwa sababu hamjui kinachoendelea nchini nyie kataeni Kila kitu yaani mange japo simjui hanaga tofauti na kigogo alikuwa anaongea kitu na kinakuwa yaani alieko mbali mbali ulaya huko anajua na hapa tumekaa tuu hatujui watanzania bhana ni shida ok subirieni
Huyu anaambiwa na watanzania wenyewe maana hawezi kujuwa mambo ya huku Tanzania bila kuwa na mawasiliano na watu wahuku.Vita siyo silaha tu za kivita,bali hata maneno ni vita Siku zote usimzarau mtu yazingatieni hayo Nchi huko ndiko inakokwenda msifikiriye watu wamelala.