Umekutana na muuwaji ndio tunahesabia wauwaji unao kutana nao huyo ni wapili Toka ulipo kutana na netanyau japo haikuwa kama putini ila wauwaji wake netanyau ulishikinao kikao ushauri hakuna sababu ya kukushusha Wala kuku pandisha ishot achana kabisa na mataifa ambayo yapo kwenya nyakati mbaya na mataifa mengine Kwan kwani yupo rafiki Yako hapatani na huyo wewe atakuona sinchi mkubwa na hata kushirikisha Tena kama rafiki wa kweli
Eye contact ya Dr TA iko vizuri hasa unapokutana na Viongozi wakubwa kama Putin , natumai kikao kilikuwa cha faida kubwa na tunaomba majadiliano yao yasiwe wazi tunamwamini Putin na hawezi kuwa na nia hovu, na pia dunia imejigawa na sisi hatufungamani na upande
Simba coach Benchikha na Teacher Wa viungo hakuna kulala hiyo ni kama ndoto na historian Nchini Tanzania ni mazoezi ya jasho na Damu kwa wachezaji akileta kiburi out ili asiwacheleweshe Simba Sasa moto uwake Fifa wanawaona mnafaa 2025 ktk nchi ya Marekani hizo mechi mbili ya Assec na JwanengGarax hao wote wapelekee moto moto Simba inaweza