ww Kama kweli unavosema sio njia lais mbn we unaenda na una ela shingapi naww umenda Kama mkimbizi unakatisha tamaa watu brother na kichaneli chako ichi
Sikiliza vizuri maelezo na uyarudie tena. Amesema kuku WANATAGA kila siku kwa miaka miwili na sio ANATAGA maana yake hakuna siku utaingia bandani ukose mayai ndani ya miaka miwili. Kuku mmoja wa mayai aliyelelewa vizuri anaweza kuacha kutaga mara moja tu kwa wiki. Pia kuna sehemu amesema wanaweza KUKATA au KUACHA kutaga kwa sababu mbalimbali. Fanya utafiti vizuri mpendwa.
Mungu akubariki kaka Mungu aendelee kukutunza umeongea kitu ambacho wafugaji wengi huwa hawakiongei baadhi ya wafugaji wengi huwa hawasemi ukweli pindi mtu anapotaka Ushauri juu ya ufugaji wa kuku wa mayai huwa ni waoga kuona mtu mwingine anafanikiwa kama wao ni wabinafsi sanasana Mimi nitakutafuta nakuomba unishike mkono natamani kufuga kuku wa mayai ila sijapata mwongozo stahili nitakupigia sim tuongee zai mungu azidi kukuinuwa zaidi ya hapo ninaamini kuku ni utajiri mkubwa sana kama unaenda kwa misingi ya kuku wanavyotaka
Izo ela zinatutamanisha sisi choka mbaya Kuna watu hii bongo Wana kunja ml 1 Kwa siku hawana time na huko Canada na wanauwezo wa kuja tusio na uwezo wa kuja mnatuchoma roho tunaziona nyingi sana