Mawengi TV ni chaneli ya mtandaoni inayofanya kazi kwa weledi na kufuata sheria za nchi na imesajiliwa na mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) kupitia sheria ya huduma za habari.
Mawengi TV imejikita katika kutoa taarifa mbalimbali za Michezo na Burudani ambapo uki-subscribe katika chaneli hii utapata habari mbalimbali za michezo na burudani kutoka Tanzania,Afrika na Duniani kwa ujumla.
Pia utaweza kupata mahojiano maalumu na Wadau mbalimbali wa Michezo na Burudani.
Tafadahali SUBSCRIBE kwenye chaneli hii kwa habari motomoto.
Huyu baba Injinia ni mtu na nusu. Wengine ni majungu tu. Injinia anajua kuiwakilisha Yanga na hata Tanzania kimataifa. Ninajisikia fahari ninapomsikiliza Injinia akiwa nje ya nchi na kuiongelea yanga. Ni baba wa wawatoto na mpira.
Huyu jamaa ajifunze kuwa pacome natural position ni 8 Sema huwa anacheza winga, Maxi ni winga natural, Aziz na Chama ndo namba kumi, Duke anaweza kucheza winger pia. Sio wote namba 10
Baba mchungaji wewe unasemakweli viongozi wanawaacha wachezaji kwa mihemko ya mashabiki utafikili wao ndiowanaosajili mashabiki wa Simba wakisema mchezajifurani hatumtaki basi viongozi wanamuacha ila mwakahuu watakachokutananacho lawama hatutaki waliokuwa wanauza mechi wote mmewafukuza olewenu mje na lawama la kuuzamechi wakati mmeacha wachezaji wazuri mmesajili wabovu wajinga sana nyinyi alafu mnasema mnalogwa mpira uwanjani hamnamchawi sasaivi uchawiwako niusajili tu
Sawa sawa mchungaji yanga wanawaloga sana wachezaji wetu Mimi Kila siku nasema na huko misri Kuna mashekh wengi wasome Albadil huko huko kabla hawajarudi huku bongo wachezaji wanalogana na yanga ndio kabisa wanatuloga sana tuwakomeshe