Asanti san kutuonesha jinsi nyimbo hiyi ku pigwa. Ingelikuwa visuri kufanya video ingine ya nyimbo hiyo lakini ueleze ni kamba gani kya kwanza au ya pili au ya tatu au ya inie kwenye kaze gani ya kwa, ya plil... au ya kumi...una piga na vidole gani unatumiya iyo kamba na badae ueleze umukono wa kume una piga je rhtthm . Kwa hivyo watu tutapenda zaidi na utapata views nyingi sana. Asante.