SHALBA Onlinetv_ ni Chanel ya kiislam (Islamic Chanel tv online) dhumuni yake nikuelimisha jamii na kuwarekebisha watu pale wanapokosea taratibu za Mungu, furahia nasi Darsa mawaidha navisomo vya Ruqya(Dua) kila kukicha.
SHALBA Onlinetv_ is an Islamic Chanel (Islamic Chanel tv online) whose purpose is to educate the community and correct people when they violate God's laws, enjoy with us Darsa reminders and lessons of Ruqya (Dua) every morning.
SHALBA Onlinetv_ هي قناة إسلامية شانيل (قناة شانيل الإسلامية على الإنترنت) والغرض منها هو تثقيف المجتمع وتصحيح الناس عندما يخالفون قوانين الله ، واستمتع معنا بتذكيرات درسية ودروس الرقية(الدعاء) كل صباح.
Mashia: wanaambiwa wanawatukana wake za mtume na maswahaba zake. Kosa hilo linawafanya mpaka watolewe ndani ya dini. Kisa ni utukufu wao mbele za mtume na Allah. Mawahabi: wanawatukana wazazi wa mtume na kuwasifu wake zake na masahaba zake. NB: Tusi kubwa ni kumjaalia mja wa Allah kuwa ana laana na hawez kuzipata rehema zake. Ivi jamani mizozo itaisha lini? Sufi: Bidaa katika maulidi na mengineyo ila bidaa zao zipo ktk fiq hi. Wahabi: Tawheed wamezitawhidisha mpaka kufikia tatu. Bidaa ktk aqida. Yaani msingi wa imani. Mawahabi mnayaona ya wenzenu wakati yenu ni makubwa zaidi?. Tusomeni jaman Allah alituachie dini sahihi na sio hizi za mitaala ya kizayuni.
thin headed people God can't be religious Jesus was didn't have a religion religion can't make you get to heaven God is not a Muslim or a Christian Jesus is the way
mashia ndo waliazisha maulid na hitima lau kama mtume angelifanya haya mbele ya maswahaba ingekuwa bora zaidi na mtume amefiwa na mke wake bi hadija na watoto wake hatujaona kwamba alikuwa akiwasomea maiti kuruani
mashekhe wengi wanazungumza kwa machungu sana na ukitazama kila mmoja unaweza kumwami ni maana wote wako sawa na waislamu kwa kuwa hatutaki kufuatilia elimu ya dini ni haki mtu kutokujua bidaaa
nashauri waislamu tutaangamia maana kimwanandani ni hatari sana kikubwa ndugu islamu hakuna kitu bora kama swala tusimamishe swala na yale aliyotuamrisha umma huu hakuna mtume wala nabii ni bali ni kufuata yale aliyotuachia mtume wa allah
.maulama wa karne hii ni mtihani sana na mashekhe wanaodai ni wachambuzi wa vitabu ndoo hao mtihani maana baadhi yao huhalalisha bidaa kuwa ni bora kuliko quruani na sunna hata mtume aliwaona watu wa namna hiyo na kuwakataza kufanya hivyo kinyume na mtume
Ata kama mnautuhumu ushia na mashia ipo haja ya matusi? Hivi ninyi mnao comment mmesoma sana hata mnaona matusi ndo elimu ya kuwapambanulia watu waende kinyume na ushia? Aya ya tatu ktk surat hujjirat inatueleza wazi kwamba hata mtu fasik akitujia na habar kwanza tuichunguze vyema tusije tukaipuuza na kujuta baadae kabla hatujaeneza uongo, hivi mmesoma sana ninyi? Na hata huo usuni mnaodai ndo dini iliyo sahihi Allah na mtume wake wanawafundisha kuwa muwatukane wenye mitazamo tofauti na yenu? Mtume alitabiri juu ya mchipuko wa madhehebu 73 vipi imani yenu ni kwamba ninyi mko sawa tu mbona msisome mkapata uyakini wa mambo kabla hamjaanza matusi. Wallah hii haikubaliki ktk dini na mwombeni Allah amuepushe na chuki mfano huu inshallah
Amezungumza SHIA tumeoneshwa JALALA,CHA AJABU ANAONGEA WAHABI BADO TUNAONEHSWA JALALA. HUYO ALI MUNAE MUELEWA NYIE MUELEZENI,PENGINE NI TOFAUTI. KWANI HATA MTUME MUNAVYOMUELEZA NYINYI NI TOFAUT KABISA NA MTUME ANAVYOELEZWA NA MASHIA
MASHIA NA WASIOKUA MASHIA KUNA TOFAUT KUBWA YA UELEWA KUHUSU UONGOZI. NA KUMSALIA MTUME...mashia Lazima wakimsalia Mtume lazima waseme Waalihi. Lakini Bidaa kubwa ya USUNNI NI KUFUNGA DUA KWA KUSEMA WASWAHABIHI BADALA WAALIHI
Ngoma Droo Kumbe nanyi Mumeweka nguzo ya saba ya IMANI, KUTETEA MASAHABA KWANI KUTUKANA MASAHABA HUMTOA MTU KWENYE IMANI...AMA DHAMBI YA KUTUKANA TU. AMA KUTUKANANA NI DHAMBI KUBWA KULIKO KUUA. ANGALIZO TU: Kura zenu Hazisaidii Chochote kwenye CHAGUZI ZETU. ALAA KUMBE MASHIA WALIKUWEPO TOKEA VITA VYA ALI NA MUAWIYA...KUMBE NI DHEHEBU LA ZAMANI KABLA uwahabi na Salafi
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
Ila miminaonaka kilamtu anae jiita mweslam aenezi ama ama anataka kua mfumu aumlozi kwasababu zaidi yaayo sioni yengine dili wapiuliona dini onanunua watu?