JR TV ONLINE. a registered online television dealing with providing all kind of new around East Africa JR TV online ni runinga ya kimtandao ambayo imejikita kaitika kutoa taarifa za ukweli kuhusu Habari, michezo na burudani na teknolojia ya matukio mbali mbali yanayojiri sehemu tofauti .
Wewe kama mfuatiliaji (subscriber) wetu karibu sana kwenye channel hii na endelea kutufuatilia taarifa zetu kwa kuzingatia sheria na maadiri ya nchi yetu. JR TV online ina haki ya kufuta maono ya mtu anaekiuka sheria na miongozo ya nchi.
SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI SIKU ZOTE UWE WA KWANZA KUPATA HABARI ZETU.
Wakuchomwa moto ni wabakaji na walawiti watoto wadogo hao ndio wanaostahiki kuuliwaa kikatili ili iwe mfano Kwa wengine 😢ila chaajabu anaeharibu watoto hafanywi kitu na jamii inamtetea
Anachomwa moto mwizi na anaachwa huruu mfanya liwati Ambae ni mbaya zaidi kuliko huyo mwizi maana anaeharibu watoto anahitajika kuuliwa kabisaa maana anaharibu jamii
Kuchoma mtu nilaana kuchoma mwizi nilaana kwani hakuna anaependa kuwa mwizi kuwa mwizi nikama ajali tusiwauwe tuwapeleke Polisi embujiulize je ingekuwa mwanao au ndugu yako au tuuuuu ungemchoma kweli kuibiwa kunauma Bali sisawa kuuwa mwizi kamahuyo msela anaongea anajidai anaona niujanja sana ila siopoa kuuwa mtu tena kwakumchoma embuleo chukua njitimoja yakibiriti iwashe nauishike mpaka iishieyote ukiwa umeishika ndoutajua umeshiriki kuuwa mtu tena kikatili jamani tuwe na utu alafu kingine nibora tuwakate mikono wakiiba tukiwa tunamafala kumi waliokatwa mkono sababu ya wizi ataawa wengine wanaotaka kujiingiza kwenye wizi wataogopa kuliko kuwauwa tuwakate mokono mmoja akiibatena katemwingine tuonekama ataibatena
Si Vizuri Kabisa Mlivyo Fanya ! Kuchukua Maamuzi mikononi mwenu ya Kupiga na kuchoma Moto , Vipo Vyombo Vya Sheria Mngefuata Utaratibu Wote wa Kisheria Kutoa taharifa police Kwamba Kuna Wezi tumewakamata Tuko Sehemu furani bila Shaka Mpolice Wangekuja tu .