Тёмный
Family of Praying Women
Family of Praying Women
Family of Praying Women
Подписаться
Karibu katika RU-vid Channel ya Familia ya wanawake waombaji, kujifunza Neno, Maombi, semina na ushauri wa Kisaikolojia na Kiroho kwa watu wote.
contacts: +255 787 460 581/+255 787 447 424
AGANO LA CHAKULA - Family of Praying Women
29:41
3 месяца назад
TIBA YA TALAKA  - Family of Praying Women
28:24
4 месяца назад
VITA MALANGONI - Family of Praying Women
19:59
4 месяца назад
THE NIGHT OF FAMILY PRAYER'S
0:44
9 месяцев назад
USIKU WA MAOMBI YA KIFAMILIA
1:35
9 месяцев назад
MISINGI - FAMILY OF PRAYING WOMEN
28:50
9 месяцев назад
MADHABAHU - FAMILY OF PRAYING WOMEN
30:46
9 месяцев назад
ROHO YA UBORA - FAMILY OF PRAYING WOMEN
20:10
11 месяцев назад
WAKATI WA KUSUBIRI- Family of Praying Women
25:22
11 месяцев назад
Adui Wa Mafinikio Wivu Na Chuki
22:35
Год назад
MOYO WENYE MAJERAHA
20:19
Год назад
USIMUUMIZE ALIYEUMIZWA
22:39
Год назад
Watu Wakikukataa Wewe Usijikatae
17:22
Год назад
ROHO YA UBABA NDANI YA MWANAMUME
20:44
Год назад
MIGOGORO YA KIFAMILIA
18:03
Год назад
Комментарии
@neemalaurent9836
@neemalaurent9836 2 месяца назад
Neno zuri la kukuwa na kuongezeka
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 2 месяца назад
😂😂😂...nimejikuta nacheka pia mm asante sana kaka Joel
@MosesFikiriIbrahimu
@MosesFikiriIbrahimu 2 месяца назад
Habari Tunaomba Groupp la Maombi la Wahtsappy TUNAOMBA HATA LINK YA WAHTSAPPY JAMANA
@hamadimtizi8801
@hamadimtizi8801 2 месяца назад
🙏🙏
@InviolataNduye
@InviolataNduye 3 месяца назад
Aminaaaa
@BlandinaMganga
@BlandinaMganga 3 месяца назад
Amen amen amen. Mungu Roho Mtakatifu atusaidie
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 3 месяца назад
Mungu atusaidie
@modestpesha5399
@modestpesha5399 4 месяца назад
Misingi ikiharibika, mwenye haki atafanya nini? Misingi ni malezi ambayo yamekosekana ktk kizazi hiki. Jando na Unyago vilipuuziwa badala ya kuvinakili kuviingiza katika mafundisho ya kidini sawasawa na ilivyokuwa awali!
@dadyjo_
@dadyjo_ 7 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-jBH1pLsJPP4.html
@MbarakaMasharubu
@MbarakaMasharubu 7 месяцев назад
Assented mkuu
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 8 месяцев назад
Amen amen amen
@carolynesimiyu3460
@carolynesimiyu3460 8 месяцев назад
Emen,,Emen and Emen ❤❤
@Ev_mwl_daniel_mollel
@Ev_mwl_daniel_mollel 8 месяцев назад
Ameeen Mchungaji Ubarikiwe sana baba kwa kazi njema hii nzuri
@valleriamwenda1512
@valleriamwenda1512 9 месяцев назад
Hallelujah
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 9 месяцев назад
Ndiye Mwamba ni salama
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 9 месяцев назад
Usiache kusikiliza mpendwa itakuvusha viwango vingine
@jklymollel5992
@jklymollel5992 11 месяцев назад
👏👏
@stellahmbanga2049
@stellahmbanga2049 11 месяцев назад
Amen mtumishi.
@goodluckmbasha336
@goodluckmbasha336 11 месяцев назад
AMEN 🙏 mtumishi
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 11 месяцев назад
Amen amen mtumishi wa Mungu. Somo limenibariki sana hili
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Ubarikiwe Sana nilikataliwa na Mme wangu waNdoa akidai simfai na akidai Mimi Ni mgonjwa! Baada ya week moja alipatwa na Ugonjwa wa sukari ya kupanda,ninajiuliza Nani alinilipizia kisasi? Ni MUNGU au shetani,?mwanamke alievunja Ndoa yangu yupo anauguza badala ya kubebishwa! Naomba jibu Mchungaji Nani kanilipia kisasi? Ubarikiwe na Bwana!
@MgeniRamadhani
@MgeniRamadhani 8 месяцев назад
Sio kisasi mpenzi, Mungu alikuepusha na balaa
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Mungu awabariki sana kwa comments hizi Bora saana Tutaendelea kuwachilia kitu kingine muda si mrefu. Neema ya Bwana itufanikishe wote
@tumpekadaga
@tumpekadaga Год назад
Kipindi kimenibariki sana, naomba kiongozewe muda ikibidi.. barikiwa sana Baba
@alistidiakamugisha
@alistidiakamugisha Год назад
Mungu wa Mbinguni aendelee kuwabariki sana kwa huduma hii watumishi wa Mungu
@gvasongvasoncoltd6538
@gvasongvasoncoltd6538 Год назад
Kipindi kimekuwa kizuri saana ila kimekua kifupi kuna mwendelezo?
@upendorichard3883
@upendorichard3883 Год назад
Wakati wa kusubiri ni wakati wakukua kiroho, kuongeza fellowship na Mungu. Wakati wakusubiri ni wakati wakumtukuza Mungu, maana tunajua yakua maana ya imani ni; "Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana". (Waebrania 11:1). Wakati wa kusubiri hujenga na kukuza imani yetu juu ya Mungu wetu. "Na kazi ya saburi ni uthabiti wa moyo; na kazi ya uthabiti wa moyo ni tumaini".(Warumi 5:4)
@harunkabalika
@harunkabalika Год назад
Be blessed Baba.
@mariamollel8049
@mariamollel8049 Год назад
Ameen
@ruthkilango5499
@ruthkilango5499 Год назад
🙏 ❤
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 Год назад
Amen amen
@valentinerwelengera1608
@valentinerwelengera1608 Год назад
Ubarikiwe Baba Mchungaji katika Ubunifu wa utume huu.
@salomechiwangu864
@salomechiwangu864 Год назад
Ubarikiwe mtumishi
@janeflorencesajjabi1545
@janeflorencesajjabi1545 Год назад
BARIKIWA MR.JOEL UMETUFUNDISHA VEMA, Nilichonacho ndio nasitahili kuanza nacho,Nisikidharau!
@DoreenCheptei-tb1iq
@DoreenCheptei-tb1iq Год назад
Amen🙏
@jenniesongo9590
@jenniesongo9590 Год назад
Amen amen 👏
@L2L-TZ
@L2L-TZ Год назад
BROTHER JOE YOU HAVE A GOLDEN MIND
@L2L-TZ
@L2L-TZ Год назад
I'm your senior interms of years but you teach me a lot of stuff, I love you guys
@genesismassam6924
@genesismassam6924 Год назад
Amen Mchungaji kwa mafundisho mema sana.
@user-kf1tf6kl1l
@user-kf1tf6kl1l Год назад
Asante Mch kwa neno lenye mafunzo kwangu. Barikiwa Sana.
@salomechiwangu864
@salomechiwangu864 Год назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@adammjuni9428
@adammjuni9428 Год назад
Asante kwa neno la uzima baba 🙏🏼
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Asante sana brother
@jasperleopord4838
@jasperleopord4838 Год назад
Mchg. Mambo mazuri sana
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Asante sana mpendwa wangu. Mungu akubariki sana
@jasperleopord4838
@jasperleopord4838 Год назад
Mungu akutie nguvu pia
@TheodoraLema-ne9vb
@TheodoraLema-ne9vb Год назад
Amen
@user-kf1tf6kl1l
@user-kf1tf6kl1l Год назад
Amina Amina Mchungaji
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Amen amen amen More blessings
@user-kf1tf6kl1l
@user-kf1tf6kl1l Год назад
Amina Amina! Ujumbe unarudisha matumaini kwa tuliokata tamaa. Zidi kubarikiwa Mchungaji
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Amen amen amen, Mpendwa wangu. Mungu akubariki daima
@jklymollel5992
@jklymollel5992 Год назад
Amina Mchungaji kazi yako ni njema
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Год назад
Amina Babangu nimekuelewa sana,nimeimarika
@familyofprayingwomen587
@familyofprayingwomen587 Год назад
Amen amen , Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Rose Muhando. Neema ya Bwana izidi sana kwako.
@jklymollel5992
@jklymollel5992 Год назад
Amen Mchungaji
@alphajoas1962
@alphajoas1962 Год назад
🙏🙏
@obachristopher1371
@obachristopher1371 Год назад
Sf