Naye anayekuuriza maswari Kama hayo atakuwa. Niyye tuu kuto kuerewa kwani hajaona chadema inavyopitia wakati mugumu juu ya watu wanainchi tu kwakuwa tu ukiwa wachadema
Pambalu dah tunashukuru watanzania mlizaliwa mkaumbwa✊ dah nimelelewa ktk familia ya walimu siku ukija bukoba ntafrah sana.injinia pita safi kwa maswali japo mengi ni pumbuiko pumbuli pumbukenza but pambalu asee inauma sana kwa uliyo yatoa na mliyoyatoa kwa ajili yetu watanzania.kiukwel imeishi umeona maswali ya hooooovyoooo sana dah mwalimu asante.kila mtanzania anataman mtufanyie jamani dah pole pambalu.mnalaumiwa kama vile ccm wanashiriki vyoooteee.
Kaka Boniface Mungu akulinde,unafanyakazi ya kiMungu sana,kazi ya kubinadamu sana,inatia uchungu sana.Inaumiza sana,binadamu kufanya mambo ya kinyama sana kana kwamba si binadami na wao hawatakufa wanadhani hivyo. Ipo siku kwa namna moja au nyingine mikono yao iliyojaa damu ya watu Italian katika mikono yao. Ni liana itakayotembea katika vizazi vyao cha tatu na nne. Hakuna marefu yasiyo na ncha.watakuja kujuta. Mungu akubariki kaka na akure Nguvu.pambana Mungu atakulipa
Haya ya polusi kureka na kuuwa watu Tanzania lipo, binafsfi namshukuru aliyekuwa shemeji yangu ambaye alikuwa ni ofisa wa polisi kituo cha oysterbay kwa Sasa ni marehemu Jina lake ni innocent ndelema, mtoto wa kaka yake aliyekuwa mtangazaji wa RTD malima ndelema, baada ya kutekwa mchana kweupe na kupigwa sana mchana kutwa na kuahidiwa kupelekwa tegeta usiku na kuuliwa yeye alitumia wadhifa wake nikanusurika kuuwawa 1997.
Amuondoe kwanza Waziri wake wa Mambo ya Ndani...kisha awabadili wakuu wote wa Police na halafu wote wanaoshutumiwa waitwe kuhojiwa na kuchunguzwa mienendo yao yote
Huyu Mafwele anamchafua Raisi Samia, kama ingekuwa America au United Kingdom au nchi nyingine zote zilizoendelea duniani leo angekuwa mahakamani kujibu tuhuma hizi lakini kwa Tanzania..mmh sijui 🤷🏽😢
Boni mungu akulinde sana. Serikali hii imeshindwa kuongoza nchi kikatiba, kisheria na kiutendaji, sasa inatumia mabavu na kuuwa. Wasipobadilika sisi waajili wao tutawabadilisha😢😢😢
Ww kaka boniphance unastaili zawadi Kaz Yako njema umenipa darasan mambo mengi na Sio mm tu n watanzania wengi husiogope na husiache kutetea ndg zetu hasa wanaopotea watanzania zaidi ya million hamsin tunakusikiliza na kuyachunguza maneno Yako
Mimi binafsi naamini wasomi ndo wajinga kwani wameamisha au wamegeuza elimu kuwa njaa hivyo hawawezi kuwashawishi wasiyo na elimu kujua na kutambua kipi wamedhulumiwa au kipi ni haki na kipi si haki bali maslai yao binafsi kwa wakati wao bila hata kujali vizazi vya watoto wao kwa siku za usoni.
Dunia yote Ikiwa Mwanasiasa, Jiandae Kwa Mambo Matatu yafuatayo, 1, Lazima Uwe Mwongo, Mnafiki, Fitinishi, na Muda. 2, Uzima na Kifo ni Fungu lako, Kwenda Jela,Nk. 3, Uwe Mtu wa Kusema Uwongo, na Upotoshaji.
Bony Mungu akulinde. Hizi facts ulizotoa ni dhahiri kabisa wahusika ni haohao majizi yanalipwa mishahara kwa pesa za mlipa kodi, na bado yanakuwa mauaji
Huyu Faustine Mafere ni nani, tupate picha yake kama wanaohusika hawataki kumchukulia hatua, basi sisi tutamchukulia hatua, picha zake zipostiwe kwa wingi mitandaoni
Mioyo imejaa tamaa na ubinafsi. Nawaza kama Viongozi wa nchi hii watangulizi je wangekuwa na tamaa kiasi cha hivi sote tusingekuwa hai.Inasikitisha sana na kuogofya unapoona kiongozi fulani anadiriki kusema kauli tata za kumfundisha jamii Nyooka nao,nilichinja n.k na watu wanapiga makofi kuona ni sawa tujiulize nani ataishi milele?