ili swala solaku leta simba nau yanga hini kushusha soka la africa ilijambo nilakukomesha tukileta simba nau yanga tutabak ivi ivi chamuhim sheria zifatwe nahaki itendek
Acheni habari za upumbuvu kwenye hatua hii hakuna point ni hatua ya mtoano simba sio wa kwanza kufanyiwa fujo katka nchi hizi za kiarabu caf hawajahi fanya action yoyote
Hiyo siyo sahihi mwaka Jana kabla ya Eng Helis hajachaguliwa kuwa nahicho cheo CAF walisema zitaanza tim8 Ili kuifungua Rigi Ila mwakani zitaongezeka Tim kuwa 24 Sasa hapo huyo Eng kafanya nini nyie waandishi nyieeeeee huyo mnae muhoji hajui kujibu maswali kiutaalam
Mo kumpokea bi ashura ujue utaenda kuibomoa simba na kupoteza washabiki wengi.huyo katumwa na upande wa pili kuja kufanya kazi maalumu tena ya kuwatubuni wachezaji waende utopolo...piga chini haraka sana simba ina wadau wengi wenye weledi na mapenzi ya kweli...
Big boss MO... kupokea bi ashura ujue utaenda kuibomoa simba unayotumia gharama kubwa kuijenga upya...huyo kiumbe hafai ni bingwa wa kutengeneza migogoro,kuchochea taharuki na kuhujumu timu... utopolo siyo wajinga kumpiga chini...pamoja naye uwe makini ni mzaramo na kisugu ni wachumia tumbo..utakuja nishukuru..
Kumbuken kauli ya injinia haji anapangiwa kazi nyingine alafu hapo hapo anakuja simba na mwanzo aliharibu wachezaji wa simba angalien kama tuliamua kusafisha ghala tusiache mchwa tena