PT endelea na kazi ya Mungu, usikatishwe tamaa na Mambo ya mitandao. Mungu akianza kuinua vita zitajiinua, na zikiinuka yajayo mbele yanaoendeza, na kufurahisha, Niffa simama na Mungu atakushindia 👍🏽
Mungu akusamehe madhambi yako ya siri na ya dhahiri. Uliyoyafanya kwa kujua na kutojua In Shaa Allah. Na pia azidi kukufanyia wepesi kwa kila jambo Da Snura