Join me as we embark together and unfold great stories of fame and wealth journeys that will enlighten our daily life
I will be interviewing experts, celebrities, men of God, thought learders musicians and atheletes so that we can grow our mindsets build better understandings, habbits and uncover the other side of them we have never seen before,thank you🙏
The best show i know...... Be Blessed Matisho , mimi ni miongoni mwa watu ambao nimejifunza kutoka kwako wakati uleee but vitu bado vinaishi hadi sasa. Nafurahi sana kuona Family music ikiendelea mpaka leo, endelea kuwa baraka kupitia karama uliyopewa na MUNGU.
Nimependa kipindi Mungu awabariki sana. But namkumbuka matisho kwenye joint mass moja ilifanyika pale mwanza sec akapanda kuimba wimbo wa fln wa kingereza alooo🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿🤣 Bwana aendelee kukutumia