Kosa la baraka ni nini hapa !!?shida mnamuhukumu mtu kwa kusikiliza stories ukisikiliza hii interview utaona maswali yote hayahusu alichokijia wanaulizia maswali ya nje ya maada .mnauliza vitu personal mnaacha maswali ya music wake . Baraka anamsimamo Wacha muelewe mnachoelewa ila huyu mwamba anajitambua sana .acheni uboya mnatakiwa mue mnabalance maswali . Big up Baraka wew ni mwamba sana you are a real man .
Sema dah hata kama ni misimamo shida ni kwamba baraka hajui impact ya media kwa msanii au mliamua iwe kiki maake sio kawaida ni yeye ndo wakwanza kuzingua kibongobongo
Huku Mombasa Kenya cannibal kichwa kibovu aliokoka na huyu nae huko Tanzania aliokoka na kipindi cha nyuma walifanya collabo nyimbo inaitwa Badman .....so BADMAN na kichwa kibovu ni kama walipanga waokoke au vip...,....,?