Sports & Entertainment Channel, House of Sports News and Interviews, owned by Mpenja Media Company LTD, under Founder and CEO, Baraka Adson Mpenja, Senior Journalist and Commentator of Tanzania Football.
Acheni kuharibu biashara za watu maii, maji? Yanahusu kolo nyinyi mbona hamuongelei mo sabuni, mo ukwaju, mo kiberiti, mo ndimu, mo fondition, Mo ubwela? Mo ubwege nyoooooooooooooo.
Hana lolote anajiwekea wigo akifungwa kwa kuuza mechi kea udhsmini watu waseme alipambana. Hizi timu zinaleta vurugu tuu kwenye ligi, ni matawi ya utopolo
Yaan hawa makolo sijui yakoje,saizi yanasubiri Pamba Jiji akipasuoiwa GSM anahusishwa,ila akishinda goli moja au mbili yanaanza kusema Yanga mwaka huu Yanga ni mbovu.
Tafuta team yako ufundishe kama unaona guarity inabeba team, kocha ndiye anaendesha mechi wewe acha ujinga anajua anachofanya usione magoal memgi yanakosekana hizi mechi zina mambo memgi nje ya uwanja
Jaman Kuna waandishi wa habari aisee Bado Sana...yaaani mtu unauliza swali kama vile hujui mpira hata kidogo...daaah aisee gamond anajitahdi Sana kuwajibu vizuri
Uyu father aache kukariri kikosi aisee yani baleke na mzize wakiingiaga uwanjani ni watu wanao onyesha wana nia na uchungu wa kufanya kitu kwa juhudi nyingi sana.... Prof Nabi ni mmoja tu aisee