Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/Ld68hoEqjsJIM6eg2iPxKI "TOGETHER TUNAWAKILISHA" Television Media, Founded 2002
Hii inaonyesha waziwazi kiasi gani hatuna viongozi waliopo Kwa maslahi ya watanzania na hakuna wapinzani hapo ila Kuna wenye njaa, Yani msigwa alivoahindwa na sugu kahama na chama inaonyesha kwamba hata huko ccm akiteuliwa kusimama kukiwakilisha chama akashindwa yupo tayari kuwepo vita ilimradi yeye atangazwe. Viongozi wa hivi hamna asiekubali kushindwa si mshindani
Nimesikiliza hadi dakika ya tatu nika pause. Mbona kama Jamaa anatufokea? Ishu siyo kuwa na deni, ila the aftermath? matokeo ya deni ni nini? kama unakopa halafu huwekezi mukopo kwenye kuzalisha unalipaje hilo deni? Maana madeni ya nchi siyo sawa na vikoba utaingia mitini au kujificha...Kitu kingine kwanini nyie mawaziri wa siku hizi mnaongea kwa jeuri? Eleza facts ili tuelewe labda inawezekana sisi wengine wote ni wajinga...basi tuelewesheni bila kutusimanga na kutufokea...mnakuwa wakali kwasababu hamuwezi kutueleza vizuri kwanini pamoja na kukopa, kubinafsisha bandari, kuwa matajiri bado mfumuko wa bei uko juu. Kwanini thamani ya pesa yetu inashuka kwa kasi. Usifanye ulinganifu usio na uwiano. Unalinganishaje mbio za kobe na farasi?
Msigwa kaishiwa ufai ata ujumbe wa nyumba 10, ongea yako sio ya chama ata ulivyokuwa chadema uliisema ccm. Kama leo u avyoisema chadema tapeli mkubwa we. Njaa mbaya
NDO MAANA KIPINDI HIKI KUNA BARIDI KUBWA KUHUSU SIASA UPANDE WOTE, HATUSISIMKI TENA, WWUNGA MKONO WAKATI WA MAGUFULI ULITUFUNDISHA KUWA TUNAVHEZEANA AKILI, BINAFSI WALA SISIKII USHAWISHI WO WOTE, LABDA TUNGOJE MWAKANI AU PICHA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA...KIKWETE, LOWASA, NI WATU WALIOWAHI KUNISISIMUA AJABU, LAKINI SASA NAONA KAMA GIZAA SIELEWI... HONGERA MSIGWA SIASA NI KUTAFUTA MAHALI MAJANI YAPO...
Naanza kuamini ule usemi, "siasa ni mchezo mchafu." Juzi tu Msigwa akiwa CHADEMA alikuwa akimzodoa raisi Samia na chama cha CCM kuwa hafai na ni mwizi. Leo baada ya kuhamia CCM anasema Rais samia anachapa kazi nzuri isiyo mfano! Mosi. nalishauri kanisa limvue cheo cha uchungaji kwa kutoa matamko ya ndumila kuwili na hivyo yanayokinzana. Pili. IGP amfungulie mashtaka Musigwa kwa kuidhalilisha CCM na sasa CHADEMA. Tatu. Nami nashukuru Msigwa kwa kuboresha ile orodha yangu maarufu ya wapinga mapinduzi duniani hususani kanda ya Tanzania. Nimemuorodhesha leo - mwanachama mpya! Na wenzetu katika lugha yao ile ya kikwetu, watu kama Msigwa wanawaita kuwa ni "hypocrites."