Allah akuhifadhi sheikh wetu Abul fadhil mlinganizi wa da'awa ssalafiya pia Allah azidi kuunyanyua Utajo wako zaidi na zaid adi watu wa batili wakisikia utajowakotu zitetemeke nyoyo zao Allahumma amin
Atamlipa kweli kwa dhulma anayofanya kwa waislamu wenzie huwezi kumuita mtu wa batwili kisa ajakubali sela zako hilo kwa Allah ni dhulma kubwa anayofanya mafuta na fitna anayoieneza ndomana shekhe utheiminy kawalipuwa kikundi lenu hilo bado ni katika kikundi cha kilichozuka zama hizi
Hii ni daawa ya attamayyuz,hamuwezi kumuelewa sheikh abul fadhli hafidhwahullah mpka msomee,mtaona kama anafaraqanisha ummah hivii,lkn kiukweli humi tz kulikua kuna sunnah za uongo uongo huo ndo ukweli,zamaani wale wanaojinasibisha na sunnah walikua na sunnah ya mdomoni tu lkn elimu ilikua mtihani,ispokua wachcahe sana walio wafiqishwa na allah,mpka ikafika hatua masufi wakisema,mawahabi hawana ufahamu,hii athari ilitokana na wengi ktk masheikh wanaojinasibisha na sunnah kushughulika mno na mataasisi,makongamano,kuliko kufundisha,watu mawaam wengi wao waliipenda sunnah maskiini,lkn namna gani yakuifata ilikua ni mtihani,hii ni kwa sabbu hawakujengwa ktk misingi ya kielimu,leo allah amewaleta maduaat wanao isomesha sunnah kisawa sawa ikaeleweka,mwaona wanaleta fur-qah,imefika hatua masufi wenyewe wanakiri kua masalafi wanasomesha na wanaelewa,enyi waatu shikamaneni na daawa hii kwa elimu na sio kwa jazba,mtaelewa nini yanayozungumzwa na huyu sheikh abul fadhwli,baaraka llahu fiikum.
Sheikh Kassim Mafuta na wafuasi wake watakua na jambo la kujibu mbele ya Allah kwa kule kuifanya kwao manhaj ssalaf ktk ukanda huu kuwa ni Hizbiya! Japo daawa yao imeleta manufaa makubwa ktk ukanda huu wa wenye kutumia lugha ya kiswahili.
Allah atawahukumu watu kwa matendo yao hatomuhukumu mtu kisa umemuita ww hizbi hii dini so yako mlipaji so ww unavimba kichwa kujiona umeongoka kumbe yaweza kuwa nawe bado upo katika kundi la upotovu, kuwa salafi ni vitendo so kujitangaza ili watu wajue wemwnyewe unafanya ibada lakini bado hujui Allah atakulipaje unapatia au unakosea epuka ria mtume alikataza ria Allah atamuadhibu mtu kutomfata yeye na mtume wake na kufata mwendo wa swahaba hata tuhukumu kwanini atukufata mwendo wa salafi wa leo itaqi llah epukana na ghuruu na ushabiki vitakupelekea kuangamia
Man hajji salafi mpk uitaje ndo umekuwa salafi dah!! hatari kweli shida hawa so kutaja usalafi shida ukisoma maneno ya shekhe utheymeen alowarud hiki chama cha kina mafuta kinachojiita salafi umeingia vita nao hizbi mubtadi,majina chungu mzima utapewa sasa mi nawashangaa kauli za shekhe zipo waazi kama wameona kumrudi shekhe hawqwezi sasa vita kwa wanaobanisha zile kauli za shekhe kauli ile inawauzi Hawa hawaitaki ndomana utakuta vita yao na mtu huwezi nyamazia hakki uzuri shekhe kataja kweli sifa zao nakutahadhari i nawo sasa utanyamaaje wakati kauli hizo zipo na shekhe amesema eidha wamepotea baadhi ya maeneo au wamepotea kabisa ukisomea watu vita na watu Hawa itakukumba tuu
kassim mufuta daawa yako ni salafiyyah ila ulipo ingiza uhizbiyyah asie afikiana nawe sio alo afikiana nawe ndie... hiyo ni kinyume na salafiyyah hebu ndugu yako muislamu sheik Abu Muawiyah Allah amrahamu ni lipi kubwa lililofanya wewe kumtwaani mpaka na wazazi wake kisha sahivi vijana wako huwaadabishi wamamtwaan hata baada ya kufa we waona hayo ni maaruf...
Ndo shida ya mtu kujiona upo kwenye hakki kumbe unaharibu zaidi siku zinavyoenda ufedhuli wenu unaonekana kuwa ni upotovu sunnah imefikia kiindi kujuwa we mwana sunnah indicator shekhe fulani ukimuharifu rai yake ww so mtu wa sunnah hiyo mpya kweli mmekuja nayo et mtu anaambiwa fulani usimsikilize nae anasetiwa kama robot kipote kina mambo hicho subuhana llah Allah awaongoze kila mtu anatowa red card kwa mwenzie we so salafi kumbe kuna watu wana mamlaka ya kutowa watu katika njia ya sunnah kirahisi rahisi tuuh et kumjuwa mtu wa sunnah tz anaemfata mafuta kumjuwa hizb au mtu wa bidaa anae mpinga mafuta watu wamefikia huko saivi si sunnah kumfata mtume na swahaba imekuwa kumfata shekhe fulani saivi umeharifu humoo katika uwanja daah umekuwa mchezo fulani sinema
@@ABUUBAAZNYUNGU hawa wanao mtwaan Abu Muawiyah na kuandika upuzi BAADA kufa kwake ni wanafunzi wa nani au wanajinasibisha na nani? Kisha swali kubwa nlilo uliza walikwepa mbona kasim mafuta akatae sulhu na abu Muawiyah? Mbona alimtenga na kumutoa kwenye usalafi bila ya vigezo vya sheria? Huoni hii yatosha kuwa dhulma???? Mbona asibainishe uhakika wa mambo na kulinda heshima ya nduguye muislam BAADA ya kufa kwake
@@ramaqaasim239 nyie ndo mnakosa uadilifu kumtuhum mtu kosa ambalo so lake.....waliokosea ni vijana wa Kassim Mafuta??? Yaan kwann kassim Mafuta??? Kila kitu Kassim Mafuta???.......KUWENI WAADILIFU KATIKA KUMHUKUM MTU
We kasim mafuta unakosea sana kaka angu Sababu Umejitengeneza kuwa ww ndo dini Kila ataekusema ww si mtu wa sunna Kila ataekusifu ww mdo mtu wa sunna Acha his sio dini Ni ujinga
Watu hawa ni kuwapuuza tuh shekhe uthaymeen katoa dalili na kundi lao hilo nii kuwa na tahadhali na watu hawa na maneno ya shekhe yakisomwa hivi yanawauma xana ukiyasoma tuu yale umekuwa adui yao ww so mtu wa sunnah hili kundi limefikia kubaya sana ulimwenguni na ndomana maulamaa wakbwa wameandika vitabu kuhusu wao na mpk kina shekhe fauwzan hawo wana fatuwa zao kuhusu wao wanafanya haya kwa jina la usalafi lakini hakki ipo mbali na wao salafi hawakuwa kama huyu mafuta Allah awaongoze wamesababisha mpk wasio waislamu wauchukie uislamu leo
Wakulalamikiwa khas ni hawa wafuasi/mashabiki wenye kuendeleza ushabiki katika Diyn sabab ni wenye kujenga mapenzi na madua't ambao ni wenye kuwafikiana na Shaykh au ma-shaykh wao na kuwachukia walitofautiana na mashaykh wao kwa sababu tu Shaykh au ma-shaykh wao wamesema mtu fulani ni mpotofu kwa fikra zao wao na kubebeshwa fikra hii hawa wenye kushabikia na kupenda ugomvi usio na natija yoyote kupelekea kuchukia mtu pasi na haqq.
@@MohamediHasani-bm6xu hana jipya huyo tunjuwa vzr tuu uadui wake hapo nikule kusoma fatuwa ya utheemny kuhusu hilo kundi lenu ukidiliki kuyasoma yale maneno ya shekhe umeshakuwa adui wao sasa amrudi shekhe usiwarudi watu wanaosoma nukuu zake kuwatahadhalisha watu na kikujndi kilichozuka ndani ya ahlsunnah kuwabadii watu na kila mwenye kwenda kinnyume na wao we so salafi shekhe kasema shikeni njjia ya mttume na swaba kuruani na sunnah kikundi kiwekeni kushoto vita ndo ipo hapa ukisoma hivyo we ishakuwa adui wao
@@MohamediHasani-bm6xu mtu ili uwe mtu wa sunnah mpk uwafikiane kumfata jishekhe fulani subuhana Allah awaongoze watu Hawa wajiona wapo kwenye kweli kumbe bado kuna maeneo wamepotosha maana halisi ya ahlsunna na kauli za wanazuoni kuzikiuka kuna sunnah imekuwa kumfata fulani so mtume tena na swahaba mfate shekhe ujamfata amtakae yey hizbi mubtadii salalaa!!! Ndo shekhe utheimeeny katowa dalilizao ni kuwatia watu katika bidaa na kuwaita khwariji hata wasostahiki kuitwa kuna moja nilimsikia anasema kjuwa mtu wa sunnah tz yule anae mfata mafuta na kujuwa mtu wa bidaa anae mpinga mafuta ndo ghuruu zimefikia huko yasalamu mmoja nae nikamsikia anasema maneno ya shekhe raby kama wahy duuh! hiki kikundi kipotovu kimekaa kwenye mwavuli wa watu wema ndomana shekhe utheimeeny kasema wapo karibu na kupatia aidha kuna baadhi ya sehemu hawajafahamu au wamepotea kabisa au baadhi ya maeneo