Chuchu jina lake aitwa Rehema miraji na mtoto wake wa kwanza amezaliwa mwaka 2003 alizaa na muhindi nahisi morogoro aliacha shule akiwa form2 popatlal sec na chuchu kazaliwa mwaka 1986
Yaani Diva ungemtafuta Mainda ungepata story nzima,, maana alishasema kwenye mahojiano flani,,,, Namnukuu kidogo(Alisema Rey alikuwa na mahusiano na Mainda pamoja na Johar so Chuchu nae akaingia kati so akawa anawachanganya bila kujijua mwisho wa cku wakajuana ndio bifu lilipoanzia,,, nakuomba mtafute MAINDA 😀
@@selinajohn536 Yan amenifanya mpk nimeirudia ile inta😂😂yy alikuwa anamuomba amwambie loshen gan anapaka 😂😂😂 anampigia simu mainda rey anakupenda kumbe kalala nae usk kucha😂😂😂muongo kadanganya Dunia hajui inta zinadumu😂😂 shoga karudie inta utaskia habar km ulisahau😂😂😂