hongera sana mbowe MUNGU akurehem utabaki salama haki huokoa na mauti kila mtu atavuna anacho panda watenda hila hawajawahi kushinda hata ck moja MUNGU yupo atawahukum kabla ya kufukia malengo yao
Acha tu kaka. Nadhani kama ingekuwa inathibitika wanajiteka ilipaswa jeshi liwashtaki kwa kulichafua jeshi na pengine kuzua taharuki. Bahati mbaya wanakanusha na hawawachukulii hatua hao wanaodai wamejiteka
Kama haujawahi kupotelewa na ndugu yako au mtu wa karibu utahisi ni propaganda but kuna watu tumepotelewa na ndugu zetu hii ni wiki ya tatu sasa ndugu yangu Dioniz Kipanya katibu mwenezi wa Chadema Sumbawanga . Watu tunalia hatujui tutampata wapi mamlamka zimekataa kumshikiria. Ndugu Saidi usifanye dhihaka tafadhari utamkufuru Mungu na kumkosea Mungu, watu wanalia kwa ajili ya ndugu zao. Hauna haja ya kucomment unavyocomment hata kama huafurahishwi na Chadema na viongozi wake. Basi jaribu tu kutanguliza ubinadamu kabla ya itikadi yako