Тёмный

🔴 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@MsekenyuLimbe
@MsekenyuLimbe 2 месяца назад
Mbowe ni shujaa wetu mungu akupe nguvu na utashi wa kuchambua mambo ya haki km hayo
@eligiusedmund3187
@eligiusedmund3187 2 месяца назад
1:02:20msikilizeni huyu dada😢😢😢😢so sad😢😢😢
@prosperthomas8864
@prosperthomas8864 2 месяца назад
hongera sana mbowe MUNGU akurehem utabaki salama haki huokoa na mauti kila mtu atavuna anacho panda watenda hila hawajawahi kushinda hata ck moja MUNGU yupo atawahukum kabla ya kufukia malengo yao
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 2 месяца назад
Eti ni Drama!! Ingetakiwa iwe ni nchi nyingine duniani wamteke mtoto wake au mtu wa familia yake kulipiza kisasi na ndio angeelewa kuwa ni drama
@jovankishamba9424
@jovankishamba9424 2 месяца назад
Kumbe Tanzania siyo nchi ya amani tena!!!!
@emmanuelgwanchele9795
@emmanuelgwanchele9795 2 месяца назад
Waziri anatoka anasema wanajiteka dah😢😢😢
@robertkairo8483
@robertkairo8483 2 месяца назад
Acha tu kaka. Nadhani kama ingekuwa inathibitika wanajiteka ilipaswa jeshi liwashtaki kwa kulichafua jeshi na pengine kuzua taharuki. Bahati mbaya wanakanusha na hawawachukulii hatua hao wanaodai wamejiteka
@robertkairo8483
@robertkairo8483 2 месяца назад
kuna ndugu yangu wiki ya tatu sasa hajaonekana
@malackedson7706
@malackedson7706 2 месяца назад
Ccm aibu.
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Toa vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani mr macho kumchuzi
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Huyu nae chizi huyu sasa umewaleta mbele ndo kiwe nini? Umewaokota wauza nyanya unadanganya watu hizo propaganda tushawachoka na usanii wenu
@bettyrugemalila9185
@bettyrugemalila9185 2 месяца назад
Umeshawachoka na nani broo,omba yasimkute ndg yako aisee
@robertkairo8483
@robertkairo8483 2 месяца назад
Kama haujawahi kupotelewa na ndugu yako au mtu wa karibu utahisi ni propaganda but kuna watu tumepotelewa na ndugu zetu hii ni wiki ya tatu sasa ndugu yangu Dioniz Kipanya katibu mwenezi wa Chadema Sumbawanga . Watu tunalia hatujui tutampata wapi mamlamka zimekataa kumshikiria. Ndugu Saidi usifanye dhihaka tafadhari utamkufuru Mungu na kumkosea Mungu, watu wanalia kwa ajili ya ndugu zao. Hauna haja ya kucomment unavyocomment hata kama huafurahishwi na Chadema na viongozi wake. Basi jaribu tu kutanguliza ubinadamu kabla ya itikadi yako
@EzekielLuvanda
@EzekielLuvanda 2 месяца назад
Mwache yamkute
@OMARYMwiru-p5b
@OMARYMwiru-p5b 2 месяца назад
Wajinga hawataishaga kuongelea ukweli bado watu wanapinga uhalisia kweli kuna mizigo
@OMARYMwiru-p5b
@OMARYMwiru-p5b 2 месяца назад
Yaan ww hujazaliwa aisee nahisi umeokotwa n jinsi gan unaonekana katili
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Toa vigezo vya kuwa chama kikuu cha upinzani mr macho kumchuzi
@gaspermatovu2899
@gaspermatovu2899 2 месяца назад
We shimo tu...
@OMARYMwiru-p5b
@OMARYMwiru-p5b 2 месяца назад
Dahh
Далее
Yaliyojiri Kesi ya TAMISEMI Kusimamia Uchaguzi
14:13
Просмотров 10 тыс.