Тёмный

🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE 

Подписаться
Просмотров 14 тыс.
% 141

🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
Mashaa Allah DR. SULE akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya🔴#LIVE - MDAHALO WA KIELIMU / DR. SULE NA PASTOR NDACHA / MBEZI MKONDE
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Airtel Money +255782466586
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE:ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-5YYiLOe5uso.html​
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: darsatv​
► LIKE DARSA TV on Facebook: DARSATV/​
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RU-vid @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
RU-vid @Darsa tv
TikTok @Darsa tv

Развлечения

Опубликовано:

 

1 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@DAVIDMAGHANGA
@DAVIDMAGHANGA Месяц назад
Sule amebakia kidogo Tu ,abatizwe ameunga mkono kbsa YESU ni ana MUNGU tena alikufa na akafufuka ,hongera sule.
@mupechai8072
@mupechai8072 2 месяца назад
There is no one enjoying this match more than that old man behind the christian reader.
@julius795841
@julius795841 22 дня назад
Dr sule ni mtoto sana mbele ya ndacha....angelimwita othman mazinge amsaidie....ndacha ni kiboko i say...barikiwa sana ndacha
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq Месяц назад
Ndacha wew ni genius be blessed too.if you want our support plz bring here Ur m pesa number we really love you and we are ready to support you unapomtangaza yesu
@ackimackim1880
@ackimackim1880 2 месяца назад
YESU ANA SIFA TATU BINADAMU, MWANA WA MUNGU, NI MUNGU KICHWA KIBOVU HUWEZI KUELEWA
@berry4726
@berry4726 Месяц назад
Hakuna kitu Kama hicho uzushi mtupu.
@julius795841
@julius795841 22 дня назад
Kweli kabisa....jesus has humanity and divinity nature...he is the son of God
@berry4726
@berry4726 22 дня назад
@@julius795841 nah Jesus peace be upon him is a prophet of God. God doesn’t have sons or daughters.
@mussakalaja3052
@mussakalaja3052 Месяц назад
Mungu azidi kukubariki saaaanaaa NDACHAA. Kama unavyosemaa wanakataa ukweliii ila SULE Hana hojaaa. NDACHA unazjua saana kujenga hoja zako nakufuatilia kila wakatiii. Utazidi kubarikiwa sanaaa NDACHAAA. Unatufundishaa mengi saaanaa.
@alexkaranja5819
@alexkaranja5819 Месяц назад
May God continue strengthening you ,give u knowledge to educate the world that Jesus is the way truth and life,pst Ndacha.
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 Месяц назад
🤔🤔
@bibieahmedseif5022
@bibieahmedseif5022 Месяц назад
Thus why me nikiuona clips yyt ya mashehe wetu km yupo Dr sule nakuwa wa mwanzo kuifungua ya Dr sule mana hata yule second wa tiroo anamuelewaa Alhamdulillah na jambo hili kwa sasa ndo linalowapa husda mashekhe wenzake. Allah akulinde usivurugwe kichwa na wavuruga vichwa vya watu
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 Месяц назад
Amen yarabilAlmin
@gabrielkyando2632
@gabrielkyando2632 2 месяца назад
Ndachaaaa he so smart utamuuwaa sulee wewe,, 😊😊
@IMRANITV1
@IMRANITV1 2 месяца назад
Akili ni nywele tunasikia YESU ameabudu jee alimuabudu nani
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
​@@IMRANITV1takbir
@berry4726
@berry4726 Месяц назад
Kweli ukilala kwenye kristo umepotea.
@hashim.22kamal27
@hashim.22kamal27 Месяц назад
Ndacha.ana.nn.kwa.dr.sule.ww.ubisi.ndo.ndacha.anajua.lkn.kwa.mandiko.bro.mta.umia.sana.kwa.dr.sule
@ackimackim1880
@ackimackim1880 2 месяца назад
MWANZILISHI WA IMANI YA WAKRISTO NI YESU YUKO HAI MPAKA LEOOOOO ELEWA APO WAISLAMU
@user-ot5cr4hy1c
@user-ot5cr4hy1c 2 месяца назад
Inafa unajiwuliza je alikuwa akifanya Ibada gani
@hashim.22kamal27
@hashim.22kamal27 Месяц назад
Yesu na.ukhristo.ni.kama.mbingu.na.arthi.wapi.andiko.yesu.ni.mkhristo.acha.maneno.ya.vichwa
@AminaLibisa
@AminaLibisa 2 месяца назад
Amiina yarab 🙏🙏
@zanzinanyange7794
@zanzinanyange7794 2 месяца назад
Yesu mwana wa mungu ni mungu, mimi mwenyewe kwenye Bible ni mwana wa mungu kwaio na mm ni mungu
@mchezakwao
@mchezakwao Месяц назад
"Mwanawe pekee"
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 Месяц назад
Sasa kila mtu ni mungu.duhhhh
@mchezakwao
@mchezakwao Месяц назад
@@hasinaalrahbi6681 yesu ni mwanawe wa pekee. Wewe ulikuwapo tangu enzi? Wewe uliumba kila kitu ? Please think ata japo kidogo 🤔 it is not yet illegal to think.
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 Месяц назад
​@@hasinaalrahbi6681😂😂😂😂😂😂😂
@zanzinanyange7794
@zanzinanyange7794 Месяц назад
@@mchezakwao unatama kunambia yesu kaumba kilakitu?
@user-hy5zd5rn6r
@user-hy5zd5rn6r 2 месяца назад
Ndacha ni 🔥.Sule relax and take notes
@OmariShuli
@OmariShuli 2 месяца назад
Mwana wa Ng'ombe ni ng'ombe na mwana wa Mungu ni Mungu. Kwa hiyo Wakrsto mna Miungu wawili. basi hakuna ubishani hapo.
@arnoldkalemela5078
@arnoldkalemela5078 2 месяца назад
Ndacha anajua jamani yooo 😅
@mussakalaja3052
@mussakalaja3052 Месяц назад
Anajua mpaka anakeraaaa
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 Месяц назад
ASANTE SANA DR SULE KAMA HAWAELEWA HAWA WATU BASI TENA.USIJETENA UMIZA KICHWA
@sirpleasureb
@sirpleasureb Месяц назад
paulo hassan uko poa sana kwa usomaji Mungu akubariki sana..
@user-ot5cr4hy1c
@user-ot5cr4hy1c 2 месяца назад
Taqbir Allah aqbar
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
Allahu Akbar
@NassirSaidmassoud
@NassirSaidmassoud 2 месяца назад
Sulle hongera unafannya kazi hiyo ndio kazi
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
Ameshindwa sana
@NassirSaidmassoud
@NassirSaidmassoud 2 месяца назад
Mnamchukia dr sulle kwasababu ya Mali zake,amawashirina Kama ibn taymia Abdul,wahabu ibrisi wanajidi
@KHADIJANDABABISA
@KHADIJANDABABISA 2 месяца назад
Doctor sulley kaka yetu mungu akuhifadhi inshaallah
@shamtekhamispoeta175
@shamtekhamispoeta175 2 месяца назад
Kama hawaamini apa.hawaamini tena hawa wakristo.
@HellenLemilya
@HellenLemilya 2 месяца назад
Ndacha Mungu akubariki
@berry4726
@berry4726 Месяц назад
Ndacha amepotea vibaya. Ukimsikiliza atakupoteza dini hajui.
@issackmakanga5603
@issackmakanga5603 2 месяца назад
Sule ashakubali YESU ndie njia ya uzima wa milele, hilo tumekubaliana kabisa
@Benjaminkabui-lq9yq
@Benjaminkabui-lq9yq Месяц назад
daah waislamu kweli wamegaragazwa kinoma 😂😂... ndacha kiboko cha majini.....
@Zanha582
@Zanha582 2 месяца назад
Aameeyn yarab 🤲🤲🤲
@bayavugeamissi
@bayavugeamissi Месяц назад
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli onesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu
@AllyAbdulkareem
@AllyAbdulkareem Месяц назад
Masha Allah
@badrukheir4
@badrukheir4 Месяц назад
Lllp
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Ndacha unafikiri Quran ni bíblia wapi katika Quran Yesu aliumba?
@YarowAbd
@YarowAbd 2 месяца назад
Mwambia na mkiristo Suleiman mungu wa tatu pia yeye niko kabla yesu😅😢😢
@yakubsuleiman6819
@yakubsuleiman6819 2 месяца назад
Hakuna kitu kibaya kama unajua ukweli then unaficha ukweli...Ndacha anajua ukweli bt anafanya ujanja tu na maandiko kuficha ukweli... subhanaallah
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
Mmeshindwa
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
Quran inasema Yesu alikufa
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Vice versa is true bro.
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq Месяц назад
Utakuwa mtumwa hadi lini wa Muhammad Kisa waarabu.yaani mavazi ni ya waarabu,lugha ni ya waarabu, quran ya waarabu.duuh kazi mnayo😂😂😂
@ramadhanyusuf2401
@ramadhanyusuf2401 2 месяца назад
Huyu sule alipodhihirisha ushirikina wake mbele za umma hakuna siku atamshinda adui wa Allah hawezi kwa sababu hafanyi kumridhisha Allah anafnya watu waseme ni dr
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Waislam mna shida gani?
@user-gh6qm5ze3b
@user-gh6qm5ze3b 2 месяца назад
Ndacha wape somo
@berry4726
@berry4726 2 месяца назад
Hamna kitu dini hajui.
@bobramaso825
@bobramaso825 2 месяца назад
ENZI ZA NABII ADAM MUNGU ALIKUWA WAPI KAMA YESU NI MUNGU?VIPI ENZI NA NABII IBRAHIM MUNGU ALIKUA WAPI?
@shijamachiya3832
@shijamachiya3832 2 месяца назад
kabla Adam Yuko, Mimi Yesu, NIKO​@@bobramaso825
@bobramaso825
@bobramaso825 2 месяца назад
43:32 - Kwani wao ndio wanao gawa rehema za Mola wako Mlezi? Sisi tumewagawanyia baina yao maisha yao katika uhai wa duniani, na tukawanyanyua baadhi yao juu ya wengine kwa daraja nyingi; kwa hivyo baadhi yao wanawafanya wenginewe wawatumikie. Na rehema za Mwenyezi Mungu ni bora kuliko hayo wanayo yakusanya.
@user-jl5un4wf3u
@user-jl5un4wf3u Месяц назад
Upandewapili nivigumusana kumufafanua Mungu inahitaji wanafalisafa wabobezi hao.mpakawakatiwakihama kwakuwahatautatuwaMungu hawajuikufafanua au ufafanuzi wao wanatakaMungu wamuonekwaumbilelipi?? wakatiMunguhuyohuyo ndiye alijifanyabinadamu hukohukokatikaulimwenguwabibiria . Natufanyemtukwamfanowetu maanayake hayo manenotafisiriyake inahitaji maalifa ?
@user-pu8vf3xt8o
@user-pu8vf3xt8o 2 месяца назад
Hata ukiwa neutral waislam wanazidiwa hoja sana
@ASIMOnlineTv
@ASIMOnlineTv 2 месяца назад
Hivi bado mnampa Airtime huyo Sele? Pamoja na kuusdhalilisha Usikamu??
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 2 месяца назад
sule kakubali kuwa yesu ndio njia ya kweli na uzima hy inatosha sana kwa sasa mdogo mdogo unakuja
@allyraiya7484
@allyraiya7484 2 месяца назад
Sheikh we hubiri tu ila Tanzania inanyanyasa wageni hatakama wana vitambulisho
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Yohana 8:23 mbona unasuta Sule? Acha ujinga ukweli unaujua ila unapindisha. Ninyi ni wa chini Mimi ni wa juu endelea bwabwa wewe
@hamidmussa838
@hamidmussa838 2 месяца назад
Hoja ilibaki ni moja tu! Majin majini
@NoorynMody
@NoorynMody 2 месяца назад
Sinagogi ni nn?
@EVELINENGIBILICHO
@EVELINENGIBILICHO 9 дней назад
😢😢😢😢😢😢😢😮😢😢😢😢😢waislam 😂
@NoorynMody
@NoorynMody 2 месяца назад
Yaan baada ya kuleta dua inyo endana na jambo usika we unakuja kuombe yasio usika na mdaaro ndomana mike imekugomea😂
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Wewe pastor umeulizwa wapi Yesu alisema yeye ni mungu? Jibu swali Wacha ujanja bana
@samuellubunga1728
@samuellubunga1728 2 месяца назад
Soma ufunuo 21 yote
@hasinaalrahbi6681
@hasinaalrahbi6681 Месяц назад
Hilo jibu halitoki
@samuellubunga1728
@samuellubunga1728 Месяц назад
@@hasinaalrahbi6681 ufunuo 21:3-7 soma
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Sule akili huna na una hila za kishetani ndani yako
@MusaRamadhani-wj2dw
@MusaRamadhani-wj2dw 2 месяца назад
Huyu sele haki Hana hata aibu unaona hata watu ambao ni waislam wamegoma kwenda kwakua watu wangejitokeza kwa wingi hasa waislam angesema pete zimeleta watu siku sote mtu ukiongra kitu bila ya elimu basi kukosea kutakua kukubwa sana
@bobramaso825
@bobramaso825 2 месяца назад
Walioichezea Biblia Na Kuzichakachua Taurati,Injili,Zabur Wamewachanganya Sana Wa Kristo
@mchezakwao
@mchezakwao Месяц назад
Wewe unayo quran ya enzi ya moha? Do we have a 7th century quran? Even a fragment ? None. Just uthman ambayo ni ya 8th century
@zahraabdul9652
@zahraabdul9652 Месяц назад
Kweli kabisa ila bible nayo ilivurugwa sana
@user-kt1fr7mz2h
@user-kt1fr7mz2h 2 месяца назад
Katika siku ndacha sijamuelewa bas Leo ninamba Moja jaman iyo mada Bora angeikaata maan mhhh imekua nzito kwa ndacha Bora unafik
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
Ndacha ameshinda Sule ameshindwa
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Sule hamuoni kama ni mwakilishi wa shetani. Mnapaswa kujiuliza shida yenu nini?
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Pastor kalele tu , mwalimu wa kislamu alimuuliza swali ya kiprofishnali lakin huyu kafiri anatamba Tamba tu, hapa sio kujionyesha vile unaongea hapa ni elimu ya kisomo kama yule mwalimu wa kislamu
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Huyu ndacha aliuziwa swali , je wapi Yesu alisema yeye ni mungu, na hakujibu swali ameanza kutamba, kwani kabla ya Abraham hakuna watu? Hiyo kwanza ni error katika bíblia sababu kabla ya Abraham Kuna umma wengi ulipita mbele yake na wale umma nani aliwaumba?
@bobramaso825
@bobramaso825 2 месяца назад
NA ENZI ZA NABII ADAM KULIKUWA NA UMA PIA WAO NAO SIJUI WALIKUA NA MUNGU GANI.
@nomar3708
@nomar3708 2 месяца назад
Ndacha hakuweza kumjibu Sule, wapi yesu kasema mimi mungu muniabudu? Ndacha kababaisha tu na kalikimbia swali😂
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 месяца назад
Hao wanaosapoti Dr. Selle nie miongoni mwa jamaa zake so ndugu ndani ya uislamu. Maana ameupazia sana mtope uislamu. Sasa uislamu gani ambao anautetea?
@AbdulRahman-ds5iq
@AbdulRahman-ds5iq 2 месяца назад
Usiangalie mabaya yake angalia mambo anayo yafanya kama ni mema ishi nayo kama ni mabaya yaache
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 месяца назад
@@AbdulRahman-ds5iq ukiwa mshikina hata ufanye zuri la aina yoyote Mungu hatii TIKI, litakufaa hapa duniani lakini akhera huna kitu kwa mujibu wa Qur'an
@chikuiddy9946
@chikuiddy9946 2 месяца назад
​@@ismailsoud3634usihukum mtu saingine katubia wacheni izo mambo waislam
@ezrommkambati1554
@ezrommkambati1554 Месяц назад
Sule andiko umelisoma kinafiki na kwa hila rudia hilo andiko utaelewa bwabwa wewe
@Sharrif456
@Sharrif456 2 месяца назад
Dacha una mdomo sana wee ndo utatoa waislamu kwa makaburi 😏😏 shenzi type
@harrishussein6992
@harrishussein6992 Месяц назад
Doctor sule wallah mtu ambae hajakuelewa hata darasani alikua haelewi umeshusha nondo kali sana
@bayavugeamissi
@bayavugeamissi Месяц назад
wewe ndacha acha kudanganya wa kristo kwa kutafuta maslayi yako unapo uliza swali jibu acha ku kwepa kwepa wambiye wa kristo je yesu alimba ao hakuomba???
@SaidSaigor
@SaidSaigor Месяц назад
Islam will dominate
@JumaOnyancha-rs9pz
@JumaOnyancha-rs9pz Месяц назад
Will perish
@bosta5018
@bosta5018 2 месяца назад
Huyu ndacha ni 'summun bukmun umyun', na elimu ya Wakristo wanao msikiliza ni ya kusikitisha, elimu yake ya Chekechea
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 месяца назад
Kwakweli yani uyu ndacha ni abujahal kabisa yani kalaaniwa
@nevisao3182
@nevisao3182 2 месяца назад
Unapataje uhakika wa kusema mwenzio kalaaniwa ilihali ww ni binaadam? Unaongeaga na mungu? Ww unajihakikishia kama umsafi?
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 месяца назад
@@nevisao3182 basi na wewe umelaaniwa maana unaona ndacha ana faidi na laana😁
@samuellubunga1728
@samuellubunga1728 2 месяца назад
Ufunuo 21 :3 Yesu mwenyewe anadhibitisha
@richardchimba3800
@richardchimba3800 Месяц назад
Yaani Sule kashindwa wewe utaweza
@NassirSaidmassoud
@NassirSaidmassoud 2 месяца назад
Wasilamu acha ujinga Ona kazi hiyo nyie mnapombazwa na. Mayaudi Kama muhaammedi bachu maana awa chanzo Chao n MAyaudi
@chandelierlumona3447
@chandelierlumona3447 Месяц назад
Sulle wewe huja soma hakima kwasababu you don’t make sense man ..! Muhammad alikufa, Yesu yupo Mbinguni sasa bado huajaelewa..?
@berry4726
@berry4726 2 месяца назад
Ndacha hamna kitu dini hajui.
@JumaOnyancha-se8lu
@JumaOnyancha-se8lu 2 месяца назад
Kwa kweli sule ni doctor wa majini na waisilamu wanamkubali kuwadanganya
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Wakristo huyu anawapeleka motoni chungana na yeye huyu ni iblis
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 2 месяца назад
inaweza ukawa uko sahihi ila mm kamwe siwez kumfuata alieoa binti wa miaka 08. huyo simtambui na sitamtambua kamwe kama mtume
@abubakarjuma5826
@abubakarjuma5826 2 месяца назад
Kama unahis ni sawa unavo ongea poa ila jahamnam inawasubir wakirsto nyote.
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 2 месяца назад
​@@abubakarjuma5826 ungeli jua jehanum n kwaajili ya nani usingali onge hilo kwasabb jehanum n kwa wale wote wanaopinga juu ya imani ya yesu kristu na amri za Mungu. kwahy kama ww unaiba,unazini,unasema uongo, unawatukana watu,unaenda kwa mganga,muasherati unakataa kwamba yesu ndio massiah huyu ndio utakaeingia jehanum !!! na kama Quran imesema jehanumu n kwadini fulani au kwa dhehebu fulani nakili kwadhati kama imesema hvy imewadanganya.
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Pastor hajajibu swali , kalele tu
@user-ws9tw3tn5n
@user-ws9tw3tn5n 2 месяца назад
Ndacha wacha kutafsir aya nusu nusu unapotosha ao wajinga wenzak wakristo
@user-ws9tw3tn5n
@user-ws9tw3tn5n 2 месяца назад
We ndacha koma kwanza kutafsir aya za kur -an unavotak ww usitafsir kinyume nyume
@MohamedbarakaBarakaIbrahim
@MohamedbarakaBarakaIbrahim 2 месяца назад
Pastor anaongea kama Ako kwa kanisa, Hana chochote
@halidimgonza5945
@halidimgonza5945 2 месяца назад
Dr. Sulley unafnya kaz kubwa, ndacha anafahamu bali ni ukafir unaomsumbua tuu
@hashim.22kamal27
@hashim.22kamal27 Месяц назад
Jmn.sikilizeni.hoja.za.dr.sule.yani.kitalamu.ndacha.ame.filisika.ndacha.acha.ubisi.eti.wakorosai.wakorosai.ni.bada.ya.yesu
@bayavugeamissi
@bayavugeamissi Месяц назад
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu
@bayavugeamissi
@bayavugeamissi Месяц назад
sasa ndacha kama yesu aliitwa mungu hajawa mungu wewe ndacha unamfata uyo alimuita yesu mungu maana ingekuwa ndacha unamfata yesu kweli unesha wa kristo wapi yesu anasema mimi yesu ni mungu