@@Oldskulgemini9991Sasa ndio unapopotea msanii akiwa na wasilikilizaji wengi ndio anajulikana sana? Sio kweli nenda china & Korea huko kuna watu wanawasikilizaji wengi na hatuwajui
@@Oldskulgemini9991fact huna mtu kaingiza nyimbo mpaka kwenye mixtape ya msanii mkubwa wa hiphop marekani halafu wewe kutoka bongo unasema hajulikani 😂😂😂😂. Wewe ndio unaleta story
@@mugadimon3563 nani anaemjua Mex Cortez bana na wewe Ebu acha siasa bana😂 kuingia kwenye mixtape ya msanii inatokana na msanii mwenyewe kukubali tu uwezo wako haimaanishi ndo umekuwa mkubwa bana😅 Sasa Mzee unataka fact Gani hapo, nimeshakupa hapo kwamba tafuta nani anawasikilizaji wengi kwenye digital platforms zote nani ana showbiz kubwa kuliko mwenzake ndo urudi na majibu hapa, acha kurukaruka twende kwenye point
@@mugadimon3563 hao wasanii wa china wanajulilana Sana huko kwao Asia Sasa wewe unataka uwajue wasanii wa china we mziki wao unaelewa? Hakuna msanii Duniani ambae anawasikilizaji wengi alafu asiwe maarufu hizo fact zako za uongo kabisa, Dunia nzima ukiona msanii anawasikilizaji wengi lazima na umaarufu uwe mkubwa ukiona wasikilizaji wadogo hata umaarufu lazima uwe mdogo
Mex Cortez yupo kwa mixtape(who got bars volume 2)ya mkali wa hip hop marekani KING CASSIDY sasa hajulikani. Best hip hop artist East Africa khalighraph Jones anamjua.
Uwezo wa kufikiri na uwezo wa akili ya mtu unapimwa kwa maneno yake ni wazi una akili vinyu. Msanii mkali anapimwa kwa Talent na Skills. Sasa ww ukiangalia Umaarufu you're fuckin' STUPID. Mex anaweza kufanya anachofanya Lunya, JE Lunya anaweza kufanya anachofanya Mex kuanzia utunzi, Lugha na kutwist flows kama Mex ??