Yesu nakusii baba Nami nakuomba Kila byangu byote bilisha kufa bifufuke namimi , ndowa yangu ifufuke namayisha ya mume wangu wangu ifufuke na makazi zetu zifufuke tena
Amina MUNGU nami najiunganisha na mathabau hii takatifu wafungue watu wa burundi nami naomba unifungue pamoja na familia yetu tuponye afya zetu amina🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Baba mungu nakuchukuru kwakuaza mukutano lakotena kupitia mutumishi wako.baba mungu naku omba ukumbuke Mumu wangu uki mufuguwa kupitia mutumishi wako umutoche kumaisha ya ulevi n'a uzinzi.namimi baba umufunguwe na kunipa kibali ndaniyandowa yangu n'a mu familial.pia ukumbuke Ichi yangu ya Congo unayo teseka n'a vita hasa Ku Este mungu wangu utupe nasiye Amani .
Ninakushukuru MUNGU BABA, kwakukumbuka na kufungua anga la 🇧🇮, utukuzwe kailo , namimi nishahidi yakua wewe mwenye nguvu umetangaza. JINA lako li imidiwe milele yote.