I have never been tired to watch your preachings Machota, kipawa chako katika kuhubiri na kulijua neno, kuna nguvu ya ziada na ya upendeo uliyopewa kutoka mbinguni
Indeed huyu ni mtumishi wa mungu aliye hai, the reality about the Bible. God bless you, I love your sermons and have known More about God. Listening from Kenya
Na ukitaka kujua, uchumi wa Marekan umeshikiliwa na mataikuni wa Wall street ambao ni wayahudi, hayo mataiifa ya kisiasa yatazidi kufilisika, na hatimae Vatican ambayo ndo mmiliki wa WB, IMF,WHO, ILO, FAO, UNHCR, na mashirika mengine ya kimataifa unayoyajua. Baada ya kufilisika, marekan itakuja kuboom kiuchumi kwa kupata fedha kutoka Vatican kupitia kitu kinaitwa WCC, na hapo vatcan itakuwa na maamuzi juu ya mataifa yote, kupitia WCC. Maana kumbuka, mtawala wa meisho kuitawala dunia hii, ni Rumi, ambayo imevaa udini kupitia vatcan.
Kumbuka africa dio ilikua ya kwanza kutawala dunia na ata kwa sasa mungu ameangalia akaona africa tena this time will be africa mungu ataipea mamlaka ya kutawala dunia tena
Mpaka kufikia miaka ya 60, robo 3 ya uchumi wa dunia ulikuwa unamilikiwa na Vatcan, na 1/4 iliyobaki ilikuwa inamilikiwa na Jews, na wakat huo Vatcan ilikuwa ktk harakat za kufanya covenant na wayahudi kwa lengo la kugrab ile robo ya uchumi inayomilikiwa na wayahud, na hatimaye Vatcan imiliki uchumi wote wa dunia.
Watching from Europe..ila ni mtanzania...i need prayers and to hear word of God like this everyday..una group whats up mtumishi unipe namba nijiunge?I need to be part of Kingdom of Jesus 😭😭
The one issues people's is confusing totally is that who is control the world nothing any national control other national but who can lead other national it's depend what is your priorities any priorities put forward the same other priorities you can leading if you meeting all priorities to fullfillment and actualization your requirement of your national nothing any nation stand above any national if any national is meet well their goal 🙏❤️❤️🙏🙏💯
9. Neno la kiebrania kuhusu nabii ni nabi na neno hili maana yake:”msemaji” Hapana mwenye-kuja na miujiza au mwenye-kuleta upako lakini “msemaji”. Mnaona? Nabii-mjumbe ni sifa na tukio ya Neno la Mungu kwa kizazi chake.
Somo hili zuri Sana lakini halifundishwi makanisani,inawezekana waalimu wa theology Ni wachache,Ni kweli Marekani,china na urusi zitabaki kuwa super power mpaka Yesu atakapokuja
Africa tumesahau imani zetu na kushika imani za watu weupe na mashuuda wana watangazia imani zao back to Africa movement uu ni utumwa wa kifikra aliye lishwa na mtu mweupe
@@alphonceawino4465 Maadam unafahamu kuwa Kuna siku atajutia haya mafundisho nadhani ungeeleza ili utusaidie wengine tunaofuatilia mafundisho haya na Mungu atakubariki
Naona comment za ajabu ajabu watu Wana comment kama watoto wadogo inamana watu awajuwi kinachoendelea, geukeni akili zinapozidi kulala Ndipo shetani anazidi kuwafumba macho msijuwe wapi pakutafutia Njia ya Uzima ! Nawalilia wanao mkataa YESU.
Unawadanganya watu wewe mwenyewe hujijuwi nafsi yako .Dunia ipo kwa mwenyewe Almighty ( ALLAH SUBHANNA ALLAH WATAALAH) CREATOR THE BENECIFUL THE MERCIFUL.
Laiti ungeangalia somo mpaka mwisho sidhani Kama ungeandika hiki ulichoandika, pili Kama wewe Ni mstarabu na Ni mwerevu wa Mambo, hoja hukibiwa kwa hoja, na hivyo nakukaribisha Leta hoja ya maana..
kama ukatoliki unamkufuru Mungu na unaandaa njia ya mpinga kristo ni kwanini mafreemason kina jay z wanasema murder Jesus murder catholics wakati wao na ukatoliki agenda yao ni 1 kumwandalia njia mpinga kristo?
SHANGAA KAKA FIDELI..JIULIZE BADALA YA KUFICHUA FREEMASONS WANAHANGAIKA NA WAKATOLIKI..HUONI KUWA WANA TEKELEZA MAAGIZO WALIYOTUMWA NA SHETANI?SHETANI HAPENDI UKATOLIKI...WASABATO HAWAPENDI UKATOLIKI....KUMBO WASABATO NA SHETANI WOTE N MAADUI WA KANISA KATOLIKI
Vipi kuhusu mpango wa new world order unaohusishwa na Freemason ? Na Mimi ni nilivoelewa ni kwamba atatokea mtawala mmoja ambae ni Mungu .. Sasa je kivipi huu mwingiliano wa utawala wa Mungu na mpinga Kristo??