Тёмный

17 Hatua Ya Kwanza Somo 16-17: Yesu, Ahukumiwa Pasipo Haki 

Maji ya Uzima
Подписаться 5
Просмотров 13
50% 1

Yesu ndiye Mfalme wa Amani. Katika sura ya 18 ya Injili ya Yohana Yesu ametuambia kwamba ufalme wake si wa ulimwengu huu. Yesu ametuonyesha kwamba kama wafuasi wake hatupaswi kupigana juu ya mambo ya dunia hii.
Mafundisho haya yanaendana na masomo yanayopatikana katika Kozi ya Maji ya Uzima inayoitwa Hatua ya Kwanza.
Kwa maelezo zaidi kuhusiana na masomo haya au kujiunga na kozi wasiliana nasi kupitia
Barua pepe: neno@majiyauzima.com
Simu: +255754 490 549 / +255694 298 395 / +255719 275 767

Опубликовано:

 

13 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее
4 Year Sibling Difference! 😭 #shorts
00:11
Просмотров 11 млн
Short Story (7): The LEPER, The BALD, and The BLIND
39:07
The Power of Sadaqah #Islamicreminder
41:20
Просмотров 4,7 тыс.