You have done the right thing governor Abdulswamad Shariff Nasser and I support this burning issue. "Moguka inaleta uwazimu na ugomvi katika jamii na ni ukweli".
Brother Shariff, we are with you bumper to bumper, Kaza nati an sheria za county ya coast province zitumike vilivyo. wauze kwao, wale kwao sisi hatuna shida.
Mtume s.a.w aliwaambia maswahaba wake waqti mmoja..."بادروا باالأعمال السّبعة...na akataja ndani yake أو غنامتغيا، hawa ni matajiri wa kupitiliza wasojali ubora wala afya za wanaadamu, uko sahihi Sheikh Abduswamad, na usisahau qauli y mtume wetu aliposema,,,"kiongozi akifanya uamuzi wa sahihi hupata ujira mara mbili", usirudi nyuma...uko katika usawa na nakuunga mkono...🙏
From Embu I choose the side of Mombasa governor but from my point of view I think instead of keeping the ban we should really hold on strictly regulating the ways of selling the product
safi sana govonor mimi naishi finland kwa sasa na mogoka inatusumbua mbaka huku, wanatoletea ikiwa imekaushwa kwa majani chai imesambaratisha familia nyingi sana
i was praying everyday cz of my boyfriend to stop chewing and selling muguka...nikijaribu kumwambia aache tunakosana talking too much God answer my prayers machakos county to bann mguka...mtu ni graduate but anakaa kama hajui mlango wa darasa mungu tunakataa muguka in Jesus name
YUKO WAPI MOHD ALI NA HASSAN SARAI WALIOKUA WAKIPIGA KELELE KUHUSU MIHADHARATI MOMBASA WAKATI WA JOHO. AMA SABABU WAKO KWA SERIKALI NDIO MAANA HAWANA HAJA NA VIJANA WANOUTUMIA MNGOKAA.
2027 Ndani mapema sana InshaAllah kura zipo zasubiri wakati na mdaa wa debe Governor to terms . Mokoka Hana Kura za COAST 6 Countys . Wasitulete Watulete Makademiya na Avokados Tutanunua Embu wapate pesa na wafanya biashara wapate pesa this is the way to GO 🚶♂️Go 🚶♀️ 💪 👏 😄 Not 👎 Mokoka.
Wanawake wa turkana walivamia shamba la merungi nakuvamia maeneo ya pombe waliona madhara yake na SISI wa MOMBASA tumeona madhara ya mogokaa na hata madawa ya kulevya lakini mogokaa iko affordable hata na watoto kwa bei ndogo.TUMEKATAA kABISAAA.
Mtangazaji radio maisha unasema tunapata ushuru katika mogokaa. Hivi maisha na pesa tukubali pesa maisha ya watu yaharibike? HAPANA.MOGOKAA TUMEKATAA KABISA.
Kupiga marufuku rasli mali la sumbua kwani haiwezi kuwa suluhu kamwe kwani mapenzi ya mama haiko ila tu kwa matemshi, heshima ya watoto na ulinzi uliowekwa na sheria haufwatiliwi hivi kuagua shida inayoitwa Adverse Childhood Experiences ambako kama nikimnukumu alivyosema mchunguzi wa akili Segmund Freud-mungu amueke pahali pema peponi 'unexpressed emotions will never die, they are buried alive and will come forth later in uglier ways' ni dhahiri kuwa jambo la bila shaka, ama mara kwa mara watoto hudhalaliswa, kwa HUCHAPWA BURE shuleni hasa pale kwa chekechea, nyumbani na kufuaatilia kunyimwa usingizi kwa kuamshwa saa kumi na moja usiku, kubebeshwa mizigo ya vitabu. Hasa ile lugha wanajua kutoka utotoni ni NITAKUCHAPA, SHENZI, MJINGA, KUBAFU, TUTAKOSANA, USINISUMBUE na hata SHETANI. Wanapokua wakubwa hawana machozi-Iliisha kwa kukataliwa, kudhalilishwa na kuchochwa hasa na waliowazaa. This is traumatizing at its best. Muguka ni njia rahisi pekee ya kuzika huzuni iliyotandazwa kwa MAIN MEMORY. (RAM)Jamii inapoteza muelekeo!!! Ingekua ni jambo la busara kwa Mhe. Rais kuwaomba msamaha na kuachilia walio korokoroni na kutafuta njia muafaka za kuwarudishia heshima. Kutokana na adhari za historia ama uzoefu wa utumwa kwa akili zao, wamerikani weusi huwa ni wenye fujo na ujeuri hata kwa familia zao. Na ndio sababu wengi wa vijana wao huwa hawawezi kuepuka matendo ya jinai kwani Amerika hawana mayirungi.
Apo sawa waki4c sisi pia tuna samaki,maembe,korosho na utalii pia uko kwetu mbona awanunui samaki korosho wala maembe utalii waeumaliza bt mugokaa kwa kuwa wana pata faida awajali madhara tunayopata watuache MSA wasitupangie chakufanya .......
is it banned because of its effect or because the the muguka business is giving an headache to another business,,anyway i side with mothers crying for their addicted childrten
Ruto patia wakulima wa.Embu mbegu za makademia na ma'avokado wapande wakivuna watulete mombasa kilifi tana river lamu kwale taita taveta Wapwani watanunua na Wa Embu watapata pesa Wafanya biashara watapata pesa . LAKINI KAMA NI MOKOKA KULETWA 6 COUNTYS COAST TO MAKE AND MADE OUR CHILDREN'S ZOMBEZ ZOMBEZ ZOMBEZ Lazy mindset 😴 for other kenyans to benefit while our Children are taken to Rehab's . We say no no no Mokoka in our six County's.
Sisi ndio tume waharibu watoto wetu wenyewe kwa kutuiga sasa ikiwa ww ni kiongozi Umenyoa hivyo unatarajia watoto wako nawe waje wanyowe vipi, ata dini imekataza unyowaji huo, na mwenye nidhamu yake awezi kunyoa hivyo