Max Africa ,, Entertainment ,kwa Gospel Music mnafanya vizuri. Napenda kutoa maoni yangu kwamba, Mjaribu kuwapandisha waimbaji katika Concert wakiwa na nyimbo zao Mpya sio za watu walizowahi kuimba (Creative Contents)!. Mjitahidi kufahamu kwamba kuna mahala mtulinde thamani wafuasi wenu (kuna TOFAUTI kati ya Anayekutizama na anyekusiliza). Niwaombe kutengenezea ubunifu wa nyimbo mpya za injili,(Mziki mnapna waimbaji wamebarikiwa vipaji/talanta). Ahsante