Afande tumemuona lakini taarifa hazikunyooka kwa huyo afande maana tunasikia mme wake kafariki 2021. Sasa iweje mme kafariki zamani hizo halafu afatilie hicho kitoto. Time will tell.
Nilielekeza hapo nyuma mwanaume anaezungumziwa ni hawala wake boss mmoja huko uhamiaji, so huyo jamaa alikua anatembea na huyo Binti pia na nikweli Muwe wake alifariki kitambo according to sources kama Malisa Gj so tusubirie mahakamani nini kitatokea
Sasa kama yeye piah ni mchepuko anajichukulia sheria mkononi khaaa,,,bhass kama kutembea na mume wa mtu kosa bhass na yeye anakosa lake ,,mtu mzima kugombea kinyama khaaaaa😊
yaani mnaikera maana mnabembeleza m2 wakati anakosa kubwa ivo mnamruhusu anakula 2 raha na bado avaa mavazi yake ya kazi analidhalilisha jeshi lapolisi