Тёмный

AIBU WAIMBAJI WAGOMA KWENDA MSIBANI ZABRON SINGERS WATENGWA KISA WASABATO | WAIMBAJI HAWAPENDANI 

MADORA TV
Подписаться 93 тыс.
Просмотров 51 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 193   
@bananapeel02-02
@bananapeel02-02 2 месяца назад
Zablon Singers simameni imara. Sasa hivi shetani anayumbayumba akitafuta mbinu ya kuwatenganisha. Msimpe nafasi. Majaliwa mtaendelea na kazi ya Mwenyezi Mungu. Marco Joseph atafurahi kule mbiguni mkiimba pamoja. Umoja wenu ni shukrani kwake. Inshallah 🙏🏽
@siselajeremiah
@siselajeremiah Месяц назад
msisikilize maneno ya watu nyie endeleeni kumtumikia mungu wetu wa mbinguni tunawaombea sana mungu awatie nguvu na muendeleee kuifanya kazi ya bwana❤❤❤
@YunisJerald
@YunisJerald 2 месяца назад
Sio lazima waende hata hivo mradi apate mazishi ya heshima inatosha kwani hata wakiwa wengi watairudisha roho yake😢..Apumzike kwa Amani Amina.
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp 2 месяца назад
Hao wanaotaka kujipodoa misibani watafute misiba ya maonesho wakaoneshe sura zao.Mungu asimame na wapendwa wetu zabron singers tuko pamoja na tutampumzisha kaka yetu, Mungu atupe msimamo thabiti kanisa lake tusisikilize mapokeo ya kishetani❤
@RachaelNyerere-tt6qz
@RachaelNyerere-tt6qz 2 месяца назад
Ee mungu wafariji wenye familia ya Marko Joseph pamoja na mke wake na watoto 😢😢
@neemamwocha2113
@neemamwocha2113 2 месяца назад
Hata wasipokuja mteule atazikwa tu.wasabato wanajitosheleza kwa faraja na ni kanisa kubwa linalojitambua na wanaamini ktk Mungu.hatuendi kujipodoa tunamsifu Mungu..
@EdinaRenatus-m4x
@EdinaRenatus-m4x Месяц назад
Lazima kanisa la Mungu liwe tofauti na wengine
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 месяца назад
Mungu haangalii waliyohudhuria msibani. Mungu anasimama na matendo ya Marco. Sauti yake ya uimbaji inaunguruma MBINGUNI.
@JosephChacha-kq6ki
@JosephChacha-kq6ki 2 месяца назад
Sahihi kabisa
@olicej7837
@olicej7837 2 месяца назад
Umeongea point saana❤Mungu amuweke mahari pema 😢
@DianaMwamatepela
@DianaMwamatepela 2 месяца назад
Kabisa
@lydiamaneno2596
@lydiamaneno2596 Месяц назад
Na Hawa waandishi pia ni wachonganishi! Kwani ni lazima watu wote wahudhurie!? Kama hawajataka kuja achana nao maana misiba ya kibongobongo usipoenda msibani nao hawaji ndo hufanya hivyo achaneni nao Marko Apumzike salama.
@DaimeryMahenge
@DaimeryMahenge 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu zabron mfike kileleni... huyo ni shetani yupo kazini tena waxhindw kwa jin la yesu dada angu kipenzi mfiwa usivunjike moyo hayo ni maneno tu yawatu hata kweny kanga yapo.... jmn kuwen na huruma xo kila taarif mnapost mnanikera ugua pole familia ya zabron
@DeborsJoseph
@DeborsJoseph 2 месяца назад
Waje wasije sisi tunamzika kwa heshima marco wetu
@sahaleabeid6986
@sahaleabeid6986 Месяц назад
Umenena Joseph...lov from Kenya 254
@shantamonteiro8966
@shantamonteiro8966 2 месяца назад
Waende wasipoenda haituhusu bila wao ibaada itaendelea kama kawaida 💪 wasapato wanajiweza na watamaliza huu mziba kwa imani
@JustaSimon-m1p
@JustaSimon-m1p 2 месяца назад
Kwani hao wasabato wana mungu wao na ninyi mna mungu wenu acheni ubaguzi
@SHABANIHERNEST
@SHABANIHERNEST 2 месяца назад
At Kama waimbaji hawjahudhuria msibabi kikubwa tumwombee marehem Marco Joseph na familia yake Alo iacha
@MathayoKisend
@MathayoKisend 2 месяца назад
Ukitaka uende mbinguni baada ya Yesu kuja kutuchukua bas sasa ishi kwa ukweli na kuacha anasa za dunia kujipamba ovyo ovyo
@marthaayuma7065
@marthaayuma7065 2 месяца назад
Shida ya Sisi WA kristo.tumejaa wivu Roho mbaya.huku tunajianika mitandaoni ....kumsifu mungu.tujibadilishe.tuwe kitu kimoja.
@lydiamaneno2596
@lydiamaneno2596 Месяц назад
Tatizo wakristo tunabaguana sana! Wengine hujiona Bora kuliko wengine kiimani! Na hii ni mbaya kama unaona mwenzio anakosea muombee tu usimdharau maana Mungu anawapenda watu wote Wala habagui, utabarikiwa kama utamwombea mwenzio ili Mungu amweke ndugu yako sehemu sahihi maana yeye ndo anaijua zaidi. Pumuzika kwa Amani Marko Mungu amekupenda zaidi
@bahatikilingo7176
@bahatikilingo7176 Месяц назад
Sio lazima waende msibani waooooo sio mungu
@joycewanjiru2202
@joycewanjiru2202 2 месяца назад
Mungu amupumuzishe vyema binguni
@SeifJuma-yt1pk
@SeifJuma-yt1pk 2 месяца назад
Wasabato sio wahukumu mungu ndie mchanganuaji wa huo uimbaji wao kma aliupenda mungu anajua na kma hakupenda ni yeye ...mungu hataki kujipodoa kiukweli
@CalebThomas-ie4zy
@CalebThomas-ie4zy 2 месяца назад
Wingi wa wa2 haumuweki mahala flan mungu huangalia amelalaje...heri sisi tulio hai sasa tumuombe mungu tukulala tulale tukiwa na tumaini
@KolamuWabene
@KolamuWabene 2 месяца назад
Wasabato Wako sahii na hao waliyo goma wapenda vipodozi kamatuma jini walifanya vzr kutokwenda kwasababu wao ni washetani
@MussaJuma-v1s
@MussaJuma-v1s 2 месяца назад
Mungu awape nguvu katika wakati mungumu mulionao family ya zabron single s
@nyanjigelameck1653
@nyanjigelameck1653 2 месяца назад
We mtangazaji ni muongo, angalia sana maneno yako yatakurudi, huo ni msiba kama misiba mingine ya kisabato hujafika kuhoji, acha uchochezi Mungu hapendi, Mungu akusaidie wewe na hao waliokushawishi uongee maneno ya Ajabu. Wasabato wana taratibu zao, achana nao.
@Gwandumi-r2v
@Gwandumi-r2v 2 месяца назад
Endapo kama ni kweli hawajafika kwenye msiba wa mwimbaji mwenzao WA injili basi wamefanya vibaya sana kwani hiyo watakuwa wamehukumu na kazi yao ya uimbaji nikubiri kile kilicho nje na utaratibu WA kimungu wao ilitakiwa wafike ili iwe fundisho Kwa wanakikundi waliobaki, na ndipo injili yao ingekuwa umefika mahara anapopataka Mungu, wapendane kama Baba alivyowapenda na kuwapa kibari cha uimbaji
@EdinaRenatus-m4x
@EdinaRenatus-m4x Месяц назад
Mungu awatie nguvu
@EvelyneShadrack
@EvelyneShadrack 2 месяца назад
Cha muhimu na musingi Marco ata zikwa kwa njia inayo faa waje wasije mungu ndio mkubwa kuliko yeyote mungu awatie nguvu zabron singer's
@JerutieKemei
@JerutieKemei 2 месяца назад
Kifo sikujitakia wasaidie watu coz action speak louder than words plz
@EvelyneShadrack
@EvelyneShadrack 2 месяца назад
Naelewa vile una sema bt they don't want will you force them no
@ceciliaomukunda7524
@ceciliaomukunda7524 2 месяца назад
Hongera kwa waimbaji wakenya wanajua kumshika mtu mkono. Aibu kwa waimbaji watanzania Mbinguni na wokovu wa roho hauna sabato wala pentecostal au anglikana. Mnafaa kutubu kwanza
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp 2 месяца назад
Kwani mnajipodoa msibani mnaenda kujionesha au,😢 kikubwa apumzishwe kwa amani kijana wetu tutazika wenyew sio lazima waimbaji waje.
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
Wao wanaendaga kwaakina nani mbona hatuwaonagi , so huu msiba haukua wawaimbaji ulikua kwa atakayeguswa..... So MSIKUZE MAMBO
@shanimussa1603
@shanimussa1603 2 месяца назад
Kabisa mfano mie nilienda kwa kuguswa na utumishi wao na uimbaji wao hawanijui siwajui ila niliwapenda na nitaendelea kuwapenda,njia yetu sote hii
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
@@shanimussa1603 hata mimi aisee
@shammhagama2527
@shammhagama2527 2 месяца назад
Kweli bhana wasabato wanapenda kujitenga sana, halafu huwa wanapiga nyimbo zao tu, huwezi Ona wanapiga nyimbo za wasanii wengine. Lakini yote 9 Mungu amrehemu Marco mwanga wa milele amuangazie
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 месяца назад
@@shanimussa1603 mimi ni msabato ila sebene la praise naimba na nna cheza tu sa ntachezea wapi kama sio duniani
@kazikazini1042
@kazikazini1042 2 месяца назад
Wakristu wengi wanazika Jmosi, hawa siku hiyo ni ya ibada hivyo huwa hawashiriki katu kwa hiyo isiwe taabu
@EveWema-be4re
@EveWema-be4re 2 месяца назад
Aky ss wakrsto tuko na shida mtu akikufa maneno mingi inaanza mbona msinyamazishe mdomo yenu kama hamna haja ya kuenda matangani hata hao wenye wanasema hata enda msibani hawazuilii Marco kuzikwa shame on you mlio kosa haya any way RIP Marco much love from 🇰🇪 🇰🇪
@enochpotions4623
@enochpotions4623 2 месяца назад
Mungu haangalii sura wala dini! Moyo safi ndiyo hubalika kwa bwana. Kujipodoa au kutokjipodoa Mungu haangalii kuko! Wala dini haijawahi kumfikisha mtu mbinguni. Vyote tunanyo hangaika navyo tutaondoka na kuviacha. Dunia hii ni mapito tuu.
@جاااحظمجنون
@جاااحظمجنون 2 месяца назад
Mbinguni hakuna Sabato wala jumapili Sote ni mwili wa Kristo Mradi amezikwa. Poleni sana wana Familia
@SeifJuma-yt1pk
@SeifJuma-yt1pk 2 месяца назад
Mungu anajua uimbaji upi unamtukuza yye atajibu mungu mwenyewe
@JoctanMwigune-iw6cs
@JoctanMwigune-iw6cs 2 месяца назад
Zabron singers sio wasanii wa injili bali ni waimbaji wa injili. Kimsingi hawana element Za kishetani kama wasanii wetu.
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp 2 месяца назад
Ubarikiwe❤
@margaretnyamwilahila292
@margaretnyamwilahila292 2 месяца назад
Amen
@mwaminmussa9461
@mwaminmussa9461 2 месяца назад
Kweli kabisaa.mie ni muislaam ila nawapenda mnoooo
@mengilinematoke
@mengilinematoke 2 месяца назад
Hakika Mungu akawe faraja kwa Zabron Singers. Mungu pekee ndio mfariji wa kweli. Hakika hatawaacha atawapigania. Marco alikuwa kijana mwaminifu wa Mungu amepumzika kwa amani . Natamani sisi tuliobaki tuishi maisha mema ili tuje kuiona asubuhi njema na mpendwa wetu. Rest in peace Marco kijana wa Mungu
@HildaMacharia
@HildaMacharia 2 месяца назад
Haijalishi Mungu atahudhuria
@lightnessgamasa6039
@lightnessgamasa6039 2 месяца назад
🤗wivu TU wasabato ni wakiristo hayo mengine niyakwenu wachambuzi ,wingi wawatu haumpeleki mtu mbinguni ,utakatifu tu ndio kila kitu, Mungu ampe pumziko jema la milele Aminaaa 🙏🏻😢😢😢
@aselaabeli853
@aselaabeli853 2 месяца назад
Ata wasipokujaaa Ni sawaaa tu mungu yupo pamoja nasiii
@UsuiliMilangitoni-gm.c
@UsuiliMilangitoni-gm.c 2 месяца назад
Mbona Joel Luwaga alikuwepo, Kibonge wa Yesu alikuwepo, Godfrey Steven alikuwepo nawengine wengi tu
@HauleBasuke
@HauleBasuke 2 месяца назад
Udini hautakiwi jamani mungu haangalii dini
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 2 месяца назад
Mungu Baba Mwenyezi tusaidie Wana kwaya
@annakaunda6634
@annakaunda6634 2 месяца назад
Acha upotoshaji wew!!
@Evelynbonifas
@Evelynbonifas 2 месяца назад
Ata wasipoenda mtumishi atapumzishwa tu mungu ana watu wake awajenda lakina watu wamefurika wakutosha
@LizzanjeBetty
@LizzanjeBetty 2 месяца назад
Zabron singers nyinyi mwatuonyesha njia YA mbinguni.wengine Raha zao.Njis zap mbaya chafu
@hatiagk4447
@hatiagk4447 2 месяца назад
Mambo gani hayo kuweni na hekima watu wako kwenye huzuni ninyi mnaleta mambo ya ovyo.
@ac...262
@ac...262 2 месяца назад
Wambea mmekosa kazi,,
@DAUDFARES
@DAUDFARES 2 месяца назад
mungu. hana kabila wala. dini mungu atawapa mwogozo wale wanaosema hayo yote
@cristinaruka9293
@cristinaruka9293 2 месяца назад
Poleni sana mke wa Marko mungu awape nguvu pamoja na kundi lote la wimbaji tunawapenda muwe makini na watu wasije wakawategea mtego mashetani ni mengi
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 2 месяца назад
Makanisa yote Kuna shida
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 2 месяца назад
Sisi wakatoliki hatuna mambo hayo sema ubinafisi kati ya waimbaji binafsi hayo mambo wanayo saana
@HappyBenjamin-j7k
@HappyBenjamin-j7k Месяц назад
Wameenda hawakuenda watajua wenyewe kwani katupwa waliomzika wanatosha sanaa
@HappyAnacondaSnake-zl4vj
@HappyAnacondaSnake-zl4vj 2 месяца назад
Mwandishi unagombanisha unaweka uchochezi,sheria za mitandao fanyeni kazi
@wemabukuku4876
@wemabukuku4876 2 месяца назад
Wapo walioenda msiwajumuishe wote .
@verahnyanchoka7480
@verahnyanchoka7480 2 месяца назад
Kwani hao wakienda matanga ndio afufuke ama nini kifanyike hovyo sana waja waende na huku mbinguni ni viusasa
@GrceLaurentkaboigora
@GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад
Inajulikana, waimbaji wa bongo, ni bongo freva, wazee na mabibi namba mababu m Wengi ni ma Na mamwinyi
@stephenkalidush5446
@stephenkalidush5446 2 месяца назад
mwenye haki ataishi kwa imani yake habakuki2:4 haipunguzi kitu songeni mbele
@BallyGerard
@BallyGerard 2 месяца назад
Mungu atusamehe
@MusaNosigwe
@MusaNosigwe 2 месяца назад
Jamani kibo melodi alikuwepo
@MwanawaNoah-f6m
@MwanawaNoah-f6m 2 месяца назад
Amina
@kerubojzion2273
@kerubojzion2273 2 месяца назад
Mi sidhani nadhani na wao zablon singers hawashiriki matukio ya wenzao.
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад
SUALA LA MSIBA halina ubaguzi wala UDINI.
@SamweliMango
@SamweliMango 2 месяца назад
Kwan kuimba ndo utakatifu....twende misiban kama wajibu wa kijamii
@GrceLaurentkaboigora
@GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад
Wanaju hamna vigodoro, na vifichwa vya wanaume mashuhuri
@blandinamanongi8818
@blandinamanongi8818 2 месяца назад
si waimbaji tu wanapaswa kwenda bali aliyeguswa na huu msiba sote tuna maumivu moyoni
@JumaSatarajr
@JumaSatarajr 2 месяца назад
Marco Arinvoimba dunianimbinguni Mungu tuwewote marco kashapumuzika mbinguni
@GrceLaurentkaboigora
@GrceLaurentkaboigora 2 месяца назад
Hiyo Ndo mpende jirani yako kama nafsi yako
@EmmanuelNyinyigwa-m1o
@EmmanuelNyinyigwa-m1o 2 месяца назад
Nimajangiri kama wezi wengne. Tu waimbaji ni washamba wa maisha
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 2 месяца назад
Madakrari wanajua walichomfanyia Marco ndio wakadanganya familia iharahakishe mazishi kana kwamba alikuwa anaumwa Corona. Wangekagua hiyo maiti waone ama haijachezewa, kama hawajanyofoa macho, figo na viungo vingine muhimu. Hapo familia ilichezwa kwa kudanganywa wawahishe mwili wakazike kana kwamba Jakaya Kikwete hawana Mortuary. Dunia hii hakuna wa kumwamini!
@VirginiaMuthoki-wt6ig
@VirginiaMuthoki-wt6ig 2 месяца назад
If u dont suport them God suport them not a big deal. I like sabato hawapendi ushetani clean from heart the best SDA
@SarahKamaliro-t2v
@SarahKamaliro-t2v 2 месяца назад
Alleluia
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 2 месяца назад
Amina. Mungu hapendi ubaguzi! Sasa mnanaposimama Kanisani huku Una yakomoyoni, Mungu Anasema Niondoleeni kelele. Amosi kaandika Hilo. Sameheaneni na kuonyana. Inapendeza Kwaya.
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp
@MakiwaShabanjumaMakiwaSh-zj9bp 2 месяца назад
Be blessed ❤
@mwaminmussa9461
@mwaminmussa9461 2 месяца назад
Kweli kabisaa
@MillicentMtua-v2y
@MillicentMtua-v2y 20 дней назад
Mtaongea na Mungu amechukuwa kilicho chake kwa iyo waende wasiende atujali wacha tuone wao wataisha vp
@CatherineMbatta
@CatherineMbatta 2 месяца назад
Apumzike kwa Amani hayo mengine tuachane nayo
@Vallery-m4s
@Vallery-m4s 2 месяца назад
Wasabatto msijifanye Kuwa nyinyi ndiyo mnajua dini sana.
@noellaalfred8371
@noellaalfred8371 2 месяца назад
Acheni kuchonganisha watu Kwan wasabato sio watu
@EstherJerald-tc6ct
@EstherJerald-tc6ct 2 месяца назад
Sio lzm bwana RIP Marko
@Naju645
@Naju645 2 месяца назад
Kikubwa azikwe Kwan wakienda atapona awaache Tu hii ni mvua ya wote
@MaryKalunde
@MaryKalunde 2 месяца назад
Maajabu kwakweli
@gertrudemosangamabusipaul4078
@gertrudemosangamabusipaul4078 2 месяца назад
Mmmmh! Wakristo tunabaguana kwa madhehebu hivi mnafikiri dhehebu ndo litawapeleka mbinguni? Nafikiri mjitafakari wenyewe. Sisi wote tu mwili mmoja wa Kristo inakuwaje tunabaguana kwa madhehebu tena madhebu nguli yaliyokuwepo tangu enzi. Tafakarini tena
@piussimtala5111
@piussimtala5111 2 месяца назад
Umefuatilia imani vizuri wewe? Hata wangekwenda wangekwazika zaidi,Misimamo ya Baadhi ya madhehebu mfano Wasabato juu ya madhehebu mengine si rafiki.Tumewahi sikia hata misuko suko baadhi waliyopata kwa kuimba tu na wasio wasabato kama Ambwene!Fuatilia interview zao.RIP MWAMBA
@carolinerubeya7817
@carolinerubeya7817 2 месяца назад
Wewe nae ninmuongoo watu wapo wengii sanaa
@femidayahaya9293
@femidayahaya9293 2 месяца назад
alafu nyie waandishi ni waongo na wachonganishi sana muimbaji gan uliyemckia akasema hatakuja kwenye mazishi...sasa hawakutokea je kama hawajapata taarifa achen mambo ya uchonganishi.wenu
@LizzanjeBetty
@LizzanjeBetty 2 месяца назад
Sasa Shusho naye aje asije hamba neno
@suzypaulmunguibarikisimba4334
@suzypaulmunguibarikisimba4334 2 месяца назад
Jaman waache kubanguana
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 2 месяца назад
Huo ni uchonganishi,utavuna ulichopanda.
@emmadora7848
@emmadora7848 2 месяца назад
Tena uchonganishi mkubwa
@ChesnoldLuhanga
@ChesnoldLuhanga 2 месяца назад
hatazikwa mambo mengine yataendelea
@fleviahella9818
@fleviahella9818 2 месяца назад
🙏🙏👨‍👩‍👧‍👧
@SheilaMmbone-j9i
@SheilaMmbone-j9i 2 месяца назад
Rip mac😢
@GetrudaEmmanuel-wf4wx
@GetrudaEmmanuel-wf4wx 2 месяца назад
Acha mambo yako mbona Joel lwaga.kibonge wa yesunawengine walikupepo kwa kuwakulisha wanatosha
@RoseMbeiyan
@RoseMbeiyan 2 месяца назад
Sasa mnamkasirikia mwenye ameshatangulia mbele za haki n haoni ht mnachokifanya na waimbaji km wote mnamwimbia Mungu n wote mko na njia moja mbona manatengana badala y kueni kitu kimoja ht Yesu mwenyewe alisema mtu akikukosea n umsamehe hakusema tuhukumiane kw stahili hiyo tutaiona mbingu kweli tujirekebisheni jmn tuachane na ya Dunia hayatatusaidia kwamwe
@Shastarsly
@Shastarsly 2 месяца назад
Acheni uongo kwani umeambiwa wanataka support gani??? Ni mtu akiguswa ataenda akiona sio muhimu aache
@mamasia9741
@mamasia9741 2 месяца назад
Kwani wasipoenda maiko hatozikwa?waache kabisa kwanza ni mashetan ayo kwan wao hawatakufa?jmn jmn achen izo
@joyceatupele8848
@joyceatupele8848 2 месяца назад
Mungu anawaona
@deobenedictakyoo3140
@deobenedictakyoo3140 2 месяца назад
Msiba hauna Dini Wala kabila hao waimbaji ni wPuuzi😊
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 2 месяца назад
Nyie ni nani mpaka mnahukumu
@JosephChacha-kq6ki
@JosephChacha-kq6ki 2 месяца назад
Mungu tunaemuabudu ni mmoja kwa nini tuamabaguana?
@JerutieKemei
@JerutieKemei 2 месяца назад
You can support in different ways plz
@AgnessJohn-v8p
@AgnessJohn-v8p 2 месяца назад
Duh mungu awasamehe
@MarthaKastuli
@MarthaKastuli 2 месяца назад
Sasa wanaimba nin wanatufundisha nin hao Mungu anawaona
@wilfredypanja7034
@wilfredypanja7034 2 месяца назад
Hapana mnatengeneza story tu mbona Huwa wanashilikishana katika nyimbo zao
@mattomnyaga9578
@mattomnyaga9578 2 месяца назад
Acha uchonganishi wew
@jacklineayuyo8577
@jacklineayuyo8577 2 месяца назад
Hata wakienda hawata mwamsha wakae na huko na ubaguzi wao,,,marco amemaliza yake
@julianamwalongo6047
@julianamwalongo6047 2 месяца назад
Huyu sio wa shetani,
@janepherjamson4166
@janepherjamson4166 2 месяца назад
MUNGU amempokea hata wasipoenda hawatamfufua.
@FarajaKiula-rm2cg
@FarajaKiula-rm2cg 2 месяца назад
Watajua wenyewe lkn atazikwa vizuri tuu ata wasipo enda
Далее
ИСТОРИЯ ПРО ШТАНЫ #shorts
00:32
Просмотров 321 тыс.
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн
PENZI LA DADA WA KAZI 💞 | Love Story
30:06
Просмотров 5 млн
ИСТОРИЯ ПРО ШТАНЫ #shorts
00:32
Просмотров 321 тыс.