Wote mnaosema 50 cent n hamjui kuhusu swala la brand... 50 cent n mfanyabiashar mkubwa knomah na Ana fan base kubwa marekan huku bongo si mnajua nyimbo ya like tu hamjui mziki wa rap unaingiza hela huko mambele ... Na Yuko sahihi kabsa kumshtak
Hiz pesa ndog 2 kwa sonar lakin ni huy msanii anaa vibe lakin natamani siku moja nyinyi waandishi muje kwenye comenti tunazo comenti muwe japo munatka like maan watu maaru huw wanawajibu mashabiki zao na nyinyi mufikirie hilo swal tujuw kwel munasoma hiz coment zetu 😅
😂😂we bwege kweli njaa kwa 50 h😂😂😂 chukua ukowako wa kikeni na kiumeni changanyesi utajiri wenu yaani ata robo amuingii kwa 50 ni kosa kisheria kumwita mtu ananjaa wakati ata punje amumpati 😂😂